Nimefedheheka sana, nafikiria kuacha kuhonga michepuko

Heri wewe unaetambua kisicho na faida.
binafsi napoteza stamina kisa K. huwa najutia sana napokuwa weak kwenye mazoezi kisa ngono.

Kuna mwanangu alitumia mwezi mzima kuchakata mbususu kila siku mbona alianza kutembea kama zombie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya mambo sio ya kufanyia sifa wakuu at least mara moja kwa wiki mbili si mbaya.
 
Self control ni ziro kabisa kwetu sisi, ukiweza kuvikamata vizuri hivi vitu vitatu yani love,sex,faith wewe umetoboa, hivi vitu ni hatari sana...sisi na ngono ni maji na samaki,akili zetu tunazijua wenyewe, ndio ile ya kusema kuwa ningeweka savings toka sekondari sasa hivi tayari ningalikuwa tajiri alaa wapi pesa mchepuko ashakula tayari ndo zinaanza "ninge", tena unatoa pesa na unatukanwa.
 
Unashindwa nini kumtumia mama laki1 na we ukaendelea na starehe zako??

Utapimwa kwa mzani unaopimia wengine
 
Vinatesa sana, na nivitamu sana 😃😀
Mi pombe ndo huwa inaniharibia mara nyingi,nikila tu pombe leo usiku kesho asubuhi simu inaita mara hivi,mara vile,mara sijui nani kafanya nini,yaani kila nikila pombe basi lazima kesho yake asubuhi nipokee simu ya matatizo..hapo achana na hasara mbalimbali za kupoteza simu,kuibiwa hela,kuumia...n.k
 
Mimi kama mke hio ratio ya mgao naomba tuiriviu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baada ya nyege kuisha ndo unajitafakari upyaaaaaa[emoji23][emoji23]..

Ukiwa mwanaume kuhonga n ishu isozuilika, unless uwe mpiga nyeto...

Cha msingi pangilia mambo yako. Kut.omba pia n muhimu wazee.
 
Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana
Ungekua na hela ungeweza gawa vizuri tu mgawanyo mama angkua na chake, msiba ungechangia na starehe yako ingepata chochote kitu, tafuta hela ndugu, ila pia michepuko sio dili
 
Mimi kama mke hio ratio ya mgao naomba tuiriviu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna haja ya kurivyuu, sababu unakula na mahitaji yooote unapata, mama yangu hapo simpi kila siku na huu mgao sio kila siku, ni ile pesa extra ambayo nimetaka kuhonga, so kuliko kuhonga bora niigawe fifte fifte, mama mzazi 50%, wewe Katika fifte% yako unakula thate% mama mkwe nampoza na twenti pasenti [emoji23][emoji1787]
 
As soon as I cum , I come to senses.
 
Majuto yenye heri, Hakika malaya aka michepuko haina faida,tunza mkeo,wanao, wazazi wako,ndugu na Wahitaji utabarikiwa na MUNGU.
 
Man, you get to do what you get to do. Utapigwa stress na huyo mkeo utakuja kulia lia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…