Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10
Eeh Mungu nisaidie
Amtoe wapi?Si ana mke au?
Nadhani hako ka hisia tutakapata kutakaoingia peponi. kanakuaga kazuri sanaKuna kafeelings huwa kanapatikana ukimpa mkwanja mama mzazi au mkeo, haka kahisia hakapo kwingine POPOTE pale.
...KWELI...Na kama Mungu akimchukua Mama, ndipo utaelewa zaidi Maumivu Yake...Kuna kafeelings huwa kanapatikana ukimpa mkwanja mama mzazi au mkeo, haka kahisia hakapo kwingine POPOTE pale.
MLEVi Mmoja , nimegusa panapo eeeh, felicitacions to me.Mwanamke una busara sana ngoja kwanza umeolewa ?
Muchas gracias chica bonitaMLEVi Mmoja , nimegusa panapo eeeh, felicitacions to me.
Mnalipia na Old Age Duty?Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 😥😥😥😥
Kaza mkuuBora umeshituka mzee, mabalaa mengine tunajitafutia.
Mie huwa naanza kuwaza mama yangu, mke wangu kisha wanangu, hapo bado nina mdugu wananitizama, toka nioe mpaka
[emoji23] [emoji1787]Kaza mkuu
Kabisa kabisaaa, halafu unajikuta una amani ndani ya nafsi.Kuna kafeelings huwa kanapatikana ukimpa mkwanja mama mzazi au mkeo, haka kahisia hakapo kwingine POPOTE pale.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni sawa na wale wanaosema
"Kuanzia leo naacha pombe"[emoji28]
Aiseh badilika sana usiwe kama fulani wa humu michepuko 6 sijui hua anatufunga kamba tuSiku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana najua unatumia hela kuuguza. Huruma ya mama.
Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Kwa kweli nilijutia sana kitendo kile nikajisemea hii laki ningemtumia huyu mama si angeniombea mema zaidi kwa Mungu?
Najitafakari upya huu mwenendo wa maisha kwa kuhonga na kulisha malaya wasio na shukrani. Ambapo ungetumia ndugu zako kijijini hiyo hela ungepata baraka.
Eeh Mungu nisaidie
Hupendi kuhongwa mrembo?Mungu awakumbuke ktk ridhiki zenu na kuwaongezea wote mnaowakumbuka mama zenu aisee.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
gracias gracias graciasMuchas gracias chica bonita