From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Hao mnaowanunua wengi wana HIV... Jiangalieni vijanaHalafu hawazingui kama wa dar, mm nipo hapa Moro kikazi wiki sasa, yaani unajivutia tuu
Npo Hapa Moro Kwa Masomo Hapa Mazimbo ,aise Nktembea Pande Za Town Xaba7 watoto wakali kila kona aixe duh,
hahaha nakubaliWewe ulieleta uzi bila shaka ni first year hapo SUA? Ngoja shule uizoee utasahau kabisa, huenda ukatuletea uzi unaopingana na huu.
Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sananenda xaba7 kuna mademu waxali xana aixe
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sana
songeaaUmetokea Kigoma nin? Maana ule mkoa ndo una uhaba wa watoo wakali...
[emoji15] [emoji23]Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Kijana weka pazia hayo macho yako, kama umefuata mabibi sawa lakini kama masomo pata cheti kwanza!Npo Hapa Moro Kwa Masomo Hapa Mazimbo ,aise Nktembea Pande Za Town Xaba7 watoto wakali kila kona aixe duh, blessed morogoro
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sana
Ndugu mkoa umekufanyaje mbona unaongea kwa chuki hivihuo ndio mji ambao kuna wanawake wanajipanga kama njugu kujiuza. kuanzia wale mataputapu pale msamvu wanaotega kwenye giza kusubiri madereva malori na wasafiri, kuanzia saa tatu wamejipanga kabisa. nenda mataputapu mengine yapo moro night sijui kuna club moja/bar wamepanga vyumba kabisa, ila ukiingia kule wamejaa zaidi ya 20 wanaweza kukupora hata pesa yote ukarudi mtupu na huwafanyi kitu. ni mkoa mchafu sana.