Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kumbe hahahahahaYani wee ndo ulichoona tu baada ya kufika moro?
Kama ng'ombe afikapo bwawani kunywa maji anadhani maji ya mbele zaidi ndo matamu anazidi kusogea mbele kumbe bwawa moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hahahahahaYani wee ndo ulichoona tu baada ya kufika moro?
Kama ng'ombe afikapo bwawani kunywa maji anadhani maji ya mbele zaidi ndo matamu anazidi kusogea mbele kumbe bwawa moja tu
Tanzania nzima watoto wakali wapo wewe tu,hata huko ulipotoka wapo teleNpo Hapa Moro Kwa Masomo Hapa Mazimbo ,aise Nktembea Pande Za Town Xaba7 watoto wakali kila kona aixe duh, blessed morogoro