Nimefika Morogoro aise kuna madem sana huu mkoa

Nimefika Morogoro aise kuna madem sana huu mkoa

Zing zing zing chanxxxxxxx

Morogoro wanawake wengi wanajiuza ni wakutoka dar. La sivyo ni wanafunzi.

Wanaume wengi hupenda mwanamke mshamba mshamba, lakini alas!! Wanawake wa mjini hujifanya washamba kuibia watu.

Hata wanawake wote duniani wakilala hapo chini huwezi kuwamaliza. Utapiga kimoja tu uanze kuzungusha macho.

Ningekuwa wewe ningehakikisha nafanya bidii kwenye masomo. Ningehakikisha kama ni lazima namtafuta wife hapo hapo chuoni.

Usiwe fundi Mbao ambaye kila Mbao anataka kupiga msumari.
 
Shauri yako! Kichwa cha chini kikiongoza cha juu hatima.yake huwa majanga! Moro pako rotten sana mkuu.
 
Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Npo Hapa Moro Kwa Masomo Hapa Mazimbo ,aise Nktembea Pande Za Town Xaba7 watoto wakali kila kona aixe duh, blessed morogoro
Kijana weka pazia hayo macho yako, kama umefuata mabibi sawa lakini kama masomo pata cheti kwanza!
 
Huu uandishi hua wanatumia mabinti waliotoka kuvunja ungo na vivulana vinavyobalehe kwa kawaida hua MNA chunusi nzito kma kokoto mnanuka midomo na vikwapa vikali sana
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
huo ndio mji ambao kuna wanawake wanajipanga kama njugu kujiuza. kuanzia wale mataputapu pale msamvu wanaotega kwenye giza kusubiri madereva malori na wasafiri, kuanzia saa tatu wamejipanga kabisa. nenda mataputapu mengine yapo moro night sijui kuna club moja/bar wamepanga vyumba kabisa, ila ukiingia kule wamejaa zaidi ya 20 wanaweza kukupora hata pesa yote ukarudi mtupu na huwafanyi kitu. ni mkoa mchafu sana.
Ndugu mkoa umekufanyaje mbona unaongea kwa chuki hivi
 
Back
Top Bottom