π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππΏMi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
Sehemu ninazo enjoy ngono ni Tanga na Tabora, dodoma kidogo ukikamata kamjusi ka kirangi vile vinapatikana Area A (uswazi).Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Wenyeji wengi ni wavivu grade one...
Ipuli tu wapo kama wote wanyamwezi waarabu.Mabinti wa kiarabu wanapatikana sehemu gani hapo Tabora?
Nimependa jicho lakoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππΏ
Kwamba kuna siku chadema iliwahi kutengeneza serikali?Mnakopenda Chadema tuonesheni maendeleo waliyowaletea.
Ogopa Sana sehemu CCM ikiwa na nguvu umasikini na ujinga ni fashion!!! Hata kongwa ni hivyo hivyoNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Anza kujenga wewe hizo modern buildings uonyeshe mfano.Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Na amegoma KUITIKA...ππ ππβTabora Nimekuita Mara 3
Hayo mambo usiwaambie fresh Graduates waliosoma vitabu vya "rich dad poor dad" au "think and grow rich"ππ ππFuRsa za geita utaziona kwa macho ila kiuhalisia hazipo,mpaka umtoe kafara ndugu yako
We jamaa huwa una tabia kama za Mwajuma.Wewe kajamaa una elements za ubishi Kila kitu.
Kwa hiyo Tabora hakuna maisha au watu hawaishi? Kipi Cha maana hapo Morogoro hakipo Tabora?
Tabora Kwa Sasa imeunganishwa na lami pande zote,Je zamani zilikuwepo? Hujaona Mji umekua? Ni kweli Tabora hakuna nyumba Mpya? Viwanja vya starehe havipo? Magorofa mapya mjini hayapo?
Nimezungumzia pull factors kijana.Wewe kajamaa una elements za ubishi Kila kitu.
Kwa hiyo Tabora hakuna maisha au watu hawaishi? Kipi Cha maana hapo Morogoro hakipo Tabora?
Tabora Kwa Sasa imeunganishwa na lami pande zote,Je zamani zilikuwepo? Hujaona Mji umekua? Ni kweli Tabora hakuna nyumba Mpya? Viwanja vya starehe havipo? Magorofa mapya mjini hayapo?
Ona ulivyo too emotional.Kwa hiyo wewe tumbuli unataka kusema Tabora ya wakati unasoma ndio ya Sasa? Barabara za mitaa Zenye lami na taa za Barabarani zilikuwepo hapo Mjini?
Hayo majengo marefu ya Gorofa yalikuwepo hapo Mjini? Vyuo Vikuu kama SAUT kilikuwepo? Lami za kulinganisha na Dodoma,Tabora na Mpanda zilikuwepo?
Kadanganye wajinga wenzako
Nilienda mtwara mwaka jana nikawaambia wanipeleke beach kali kuliko zote nikapelekwa na boda boda kwenye ufukwe kuna ka-pub fulani kunanuka shombo ya samaki balaa, nikaagiza juice ya azam hawana wana tujuice twa watoto...Same to Mtwara. Nilienda muda kidogo. Sijajua kwa sasa
Kwa hiyo?Ona ulivyo too emotional.
Unaambiwa kafanya kazi tangia 2020 na kahama Tabora september.
Au 2020 nayo ni zamani??
π π€£ π nchi ngumu hiiUlitafuta Malaya ukakosa?
Mwambie asogee Zero pub pale akafurahie maishaKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
Wewe ni kajinga na kapuuzi,unataka Tabora ikue wakati haikuwa hata na miundombinu miaka na miaka? Nyie watu Huwa mnatumia akili za wapi? Tabora ilikuwa na Barabara 1 tuu nayi amejenga JK ya Tabora-Nzega.Kwingine kote ni mavumbi,ulitegemea Mji ukue vipi?We jamaa huwa una tabia kama za Mwajuma.
Unatumia hisia kuliko akili.
Embu stop being too emotional tizama facts.
Kwani nimesema kuwa Tabora haikui ama Tabora hakuna majengo mapya??
Nimezungumzia pull factors kijana.
Tabora tuelezee tu uhalisia hazina pull factors za kutosheleza kusema mji ukue kwa kasi inaotakikanika.
Ni kama ilivyo Dodoma ni kwasababu tu ni mji wa serikali ila kiuhalisia Dodoma kwa pull factors ni mji butu vile vile.
Morogoro kuna sababu vutishi nyingi za kimazingira na kiuchumi.
Hizo ni sababu vutishi kuu mbili za kuvutia watu kujazana katika mji na kuukuza mji.
Huwezi fananisha Tabora na Morogoro katika shughuli za utafutaji na mazingira mazuri never huwezi.
Uwe unaelewa uache kutumia hisia badala ya akili.
π Bila shaka ndio kule maeneo ya kwa nkuu wa nkoaNilienda mtwara mwaka jana nikawaambia wanipeleke beach kali kuliko zote nikapelekwa na boda boda kwenye ufukwe kuna ka-pub fulani kunanuka shombo ya samaki balaa, nikaagiza juice ya azam hawana wana tujuice twa watoto...
Nikasepa