Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
AisèeeeKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AisèeeeKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
HahahMi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Kama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
Geita nimetoka juzi hela ipo yakutosha tu ukiwa ma connectionNililetaga Uzi wangu kuhusu biashara ya spare nahisi mwaka jana,
nilienda kuongea na rafiki yangu akanishauri nifungue vitu vya urembo wa magari, Kwa kweli nilianza kwa ugumu sana nikiwa bado sielewi vitu vingi.
Mkoa wa Tabora ni mkoa mkubwa sana, changamoto Kwanini bado maendeleo ni machache ni sababu ya miundombinu ilikuwa mibovu, kwa sasa kidogo panaanza kufunguka.
Nilileta Uzi wa makontena ya kuhifadhia ndizi bado sikupata muitikio mzuri sana, japo kuna mtu nipo naongea nae kwa sasa ananielekeza baadhi ya mambo.
Ukifika Katavi, Kahama, Geita utaona kuna fursa nyingi sana.
Binafsi nililemaa sana kukaa kariakoo, lakini hivi sasa kila siku akili inapanuka kukutana na watu tofauti tofauti na fursa ni nyingi.
Karibu mkuu.
Acha wivu MkuuNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.