Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Nahene bhabha!
 
Kuna haja gani ya kuandika kiarabu wewe mmanyema..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umekuwa kama Boko Haram mkuu si bure inabidi ukimbizwe Mirembe
 
Sina mbavu, Don mchokozi sana
 
Chama la mafala. Sina mpango na Chama la viongozi maboya.
 
Nlijua mzima kumbe dishi limehama, kuchima kwako bibilia ndo laana inakutafuna
 
Tunasoma siyo kupata kazi. Tunasoma ili tuweze kuishi kwenye mazingira yoyote na yenye changamoto yoyote ili tutatue changamoto zilizopo.
Sasa hivi wasomi ni wengi na hakuna kazi. Je, unatumiaje elimu yako kutatua changamoto zilizopo ili uweze kupata fedha?
Ulisoma ili upate kazi na kazi hauna ndiyo maana unaona vyeti havikusaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…