laskaboza
Senior Member
- Jun 8, 2020
- 142
- 1,584
Chama ni dribbler mzuri, ana vision safi, awareness imekaa vizuri, stamina ipo njema lakini.. anticipation na speed yake ni poor. Shooting zake nyingi pia ni weak (Hana uwezo mzuri sana wa kufungia nje ya 18); hii inapelekea yeye kuforce kupiga pasi hadi sehemu zinazofaa ku shoot kitu ambacho mara nyingi huwa hakileti matokeo chanya (Rejea match ya vipers iliyopita na ile ya horoya).
Kwa maana hiyo timu ikizidiwa, uwezo wake pekee hautoshi kuokoa timu (rejea mechi ambazo Simba ameshikwa kama ya raja pale kwa mkapa). Kwaiyo huwezi kumuweka chama kwenye category ya mchezaji tegemezi kwenye mashindano yenye timu nzuri kama/zaidi ya Simba.
Najua umemsifia sana kwa sababu jana alimchenga beki na kumpiga tobo kipa. Lakini unasahau mtu huyo huyo alimpiga chenga kipa akajiingiza kwenye jopo la mabeki mpaka akashindwa kujua afanye nini na kuishia kupoteza mpira kizembe sana wakati kulikua na kina moses nyuma waliopo kwenye position nzuri zaidi (hii ndio poor anticipation nayoizungumzia).
Ni mchezaji mzuri, ana vitu fulani ambavyo wengi hawana. Ila kusema ni the best ever? Think again.
Kwa maana hiyo timu ikizidiwa, uwezo wake pekee hautoshi kuokoa timu (rejea mechi ambazo Simba ameshikwa kama ya raja pale kwa mkapa). Kwaiyo huwezi kumuweka chama kwenye category ya mchezaji tegemezi kwenye mashindano yenye timu nzuri kama/zaidi ya Simba.
Najua umemsifia sana kwa sababu jana alimchenga beki na kumpiga tobo kipa. Lakini unasahau mtu huyo huyo alimpiga chenga kipa akajiingiza kwenye jopo la mabeki mpaka akashindwa kujua afanye nini na kuishia kupoteza mpira kizembe sana wakati kulikua na kina moses nyuma waliopo kwenye position nzuri zaidi (hii ndio poor anticipation nayoizungumzia).
Ni mchezaji mzuri, ana vitu fulani ambavyo wengi hawana. Ila kusema ni the best ever? Think again.