KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Tafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? 😂😂Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huriaView attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Ni upumbavu mbunge si kitu cha kawaida tu yan mwakilishi wa wananchi ndo anakuwa kama raisi khaaaTafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? 😂😂
Pesa ninazo la kusomba hata duka zima, nilienda tu kumuunnga mkono Mkinga mwenzangu, ni wao walionialika nikanunue kwao na walinipa catalogue 📇 book yaoTafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? 😂😂
Very astonishingNi upumbavu mbunge si kitu cha kawaida tu yan mwakilishi wa wananchi ndo anakuwa kama raisi khaaa
Kuchanganya biashara na siasa ni sumu mbayaNa mbunge akaishia kununua boxer mbili,pumbaaavuui
Akajiona mfalme, ameshuka kwenye Harrier tako la nyaniNa mbunge akaridhika watu kufukuzwa ili yeye aingie?
TrueNajaribu kuwaza kama ingekuwa umeambiwa mpishe mzungu anunue kwanza kila mtu angekuwa analalamika ubaguzi
Iringa/ Njombe hukoHuyo Ni mbunge wa wapi? Maana huku mjini hatumjui.
Atanunua boxer 2tuShopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo
Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m
Huku duniani nishaona, formula ni kuplay the game sio kujaribu kubadili game,Shopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo
Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m