Nimefukuzwa kwenye duka la Kene Beibure ili apishwe mbunge Festo Sanga kufanya shopping

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.

Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.

Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.

Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.

 
Tafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? 😂😂
 
Shopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo

Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m
 
Atanunua boxer 2tu
 
Huku duniani nishaona, formula ni kuplay the game sio kujaribu kubadili game,

Hapa kikubwa tutafute pesa na sisi tufunge maduka tu 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…