Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hayo ni mawazo yako unavyopanga wewe lakini mimi nae naota kuwa amenunua duka lote na nimeendea mzigo mwingine...Halafu wanunuaki wako wa Kawaida wasuse kuanzia kesho yake....utakuwa hizo Milioni Kumi ?
Akikumbia ananinua mzigo wa Milioni Kumi halafu vitu hakuvipenda akanunua mzigo wa milioni tatu TU, utamdai ??? Mmeandikishiana ???
Wateja nimewapa kilo moja moja ya sukari kama wanavyopewa kofia na t-shirt wanavyofurahia
Kwa Africa bakhshishi kidogo tu mambo yanaenda
Ila usiwaze sana ni jokes hizi