Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hongera.Ahahaa....ya pale kurasini TIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera.Ahahaa....ya pale kurasini TIA
Ni miongoni mwa watu wachache sana warefu kutoka ukanda wenu.Tafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? 😂😂
Huyu atakuwa ni marketer kwenye hilo duka.Umeamua na kuwatangazia biashara Yao Bure! Pole sana tafuta Hela ulizonazo haitoshi[emoji2][emoji2][emoji2]
Sema tu huyo TAJIRI MKUU WA MATAJIRI anavinjari na hela ya urithi, ingekuwa hiyo hela ya utajiri wake ameitolea jasho asingekubali udharirishaji huoWamezingua sana!wamemvunjia sana heshima Tajiri mkuu wa Matajiri
Hao wabunge wa mbeleko za mwendakwaoNa mbunge akaridhika watu kufukuzwa ili yeye aingie?
Mbunge imposed on Makete kwenye ukimwiIringa/ Njombe huko
Huyo ni MWANANCHi,wananchi hatunaga nongwaNimewai kua sehemu moja na Abbas Tarimba dah jamaa ni mtu na
Msitaarabu sana
Bora hata Vunja bei tunamjuwa, huyu unayempromote duka lake ndio lipi?Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
...Kweli Kabisa....shame on You [emoji35] !!Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
...Basi Mkinga Mwenzio, Mshamba! Anapapatikia Mbunge kwenye Dunia hii ya Ushindani ????Pesa ninazo la kusomba hata duka zima, nilienda tu kumuunnga mkono Mkinga mwenzangu, ni wao walionialika nikanunue kwao na walinipa catalogue [emoji415] book yao
...Halafu wanunuaki wako wa Kawaida wasuse kuanzia kesho yake....utakuwa hizo Milioni Kumi ?Mkuu kama duka langu siku nzima nauza 1m halafu ukasema funga duka nanunua mzigo wa 10m kwa raha zangu Walahi na mlo nakuagizia kabisa na barabara nafunga kabisa [emoji1] [emoji1787]
Nadhani akija atukuelezea vizuri,ila kuna watu wana Link ya huo uzi ujifunze namna ya kuwafanya watu wa namna ya msimamizi wa hilo duka.Ananunua samaki Ferry au ana meli zake za uvuvi?