Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

90% tupo dsm Mkuu tunaperuzi JF
hapa nakupinga wengi wanajinasibu wako dsm ila ukwel jf ina watu toka sehem mbali mbali.
Ni sawacna uulizie matajiri jf utakuta 90% ni matajiri ila ukwel unajulikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa mmoja alinikuta na geto hapa Dsm tukiwa wote tumemaliza chuo tunapambana kitaa.

Tuliishi kama miezi 4, jamaa aliniudhi sana hakuwahi kuosha vyombo alinichukulia kama demu sijui, napika tunakula naosha vyombo daily jamaa ananipa stori tu nikiacha kuosha vyombo vitakaa hata wiki.

Mwishoni sana nilimchana akamaindi akasepa.

Kuna watu hawabebeki so tusilaumiane sana
 
ukiona tukio kama hili hawana urafiki, kuna mmoja kaungwa na jamaa kwa mwenzie, au kuna wale matozi wasiochangia chochote pesa wanazo, au uko bwege lakini ni nyoka unatamani demu wa mwenizo, au mdokozi, au story za kujigamba nyingi, kuvaa kwing, bando la simu full, lakini gheto huna mchango wowote, unakaa kwangu halafu unanisengenya san. huyu mwamba anatakiwa aongeze nyama kwenye story yake ikamilike
Kila mmoja huitetea nafasi yake bana bana....
 
Duniani Kuna mengi sana,,Mimi nakumbuka nilitoka Home vijijini kuelekea Mwanza Kwa ajili ya utafutaji, na nilipanga kufikia Kwa brother,,,,Sina simu ila Nina Namba mkononi. KUFIKA Mwanza nampigia hapatikani,,,Tafuta Hadi maeneo ya kazini kwake wakaniambia amahamia Bugarika.

Nilienda Bugarika namuulizia hayupo,,, daaaaah ndio saa MBILI usiku Sina pa kwenda,,,,niliingia na begi langu kwenye Pagare Fulani hv nikaangalia mazingira nikaona ok Leo nauweka hapa,,,,,ahahahaaha ila,,,,,Acheni Mungu aitwe Mungu nilisaidiwa na mtu ambaye hata simjui,,,,bro ningekuwa Dom ningekusaidia!!!!,[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwa watu wasiowahi kusafiri hawawezi kujua haya mambo watamdhihaki mtoa mada hivi vitu huwa vinatokea kwenye maisha
 
Hii situation ilinikuta. Rafiki yake na rafiki yangu alikuja town kuanza maisha.
Rafiki yangu akasema yeye huwa dem wake anakuja kulala hapo so ni bora afikie kwangu. Basi nikajua atakaa wiki.
Ebwana eeh. Alihamia jumla jumla kama miezi minne hivi akapata kazi mkoani...
Kwa kweli alisababisha usumbufu kwa kuwa 'ndege zilikuwa zinashindwa kutua'.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mashaisha yamebadilika sana huwezi ukaa kwa mtu mda mrefu atakuchoka tu na hio gia mwanamke ni zuga alishindwa kukwambia ukweli
 
Vijana tambueni maisha ya chuo uliyoishi na mwenzio siyo maisha ambayo wote mnaenda kuishi baada ya chuo hilo mjue kuna watu wanabadilika kutokana na mazingira sasa kama wewe ubadiliki matokeo yake ndio haya

Mpo chuo life style yenu ni kusoma na bata mbebana gheto mpo wanne au watatu hayo ni maisha ya kupitia tu kuna mwingine anaishi hivyo akijua haya ni maisha ya mpito do mkiachana hapo kila mtu anaenda kuishi maisha yake ngoja nitoe kisha kimoja

Kuna jamaa tulisoma naye chuo maisha yalikuwa yakisela sana tena sana mlala gheto hili kesho kule mmeamkia club nk kwakua chuo basi shule ikaisha kila mtu akarudi kwao ikabadi mawasiliano ya sm tu kumbe moja wetu yeye aliendelea na maisha yake ya kisela hakutaka badilika watu wana familia tayali nk yeye bado usela haujamwisha

Akawa anakupigia sm oya nakuja uko unasema pouwa karibu siunajua ni jamaa pengine ana issue yake unampokea anakuja kwako anakuta una familia unampa chumba nalala shemeji yake anamkarimu vizuri unashangaa mwamba anaanza kutoa na ratiba ya msosi shem pika hiki leo kwakua mgeni unaona pouwa aisee mwamba wiki yupo

Wife anaanza kuuliza uyo hana kazi au kaijia nini unasema ngoja taongea na jamaa unatafuta mda ana muuliza mzee vipi unasikia nimekuja refresh mind hapo ndio unachoka yani baba jitu zima halina muelekeo unapigia sm jamaa wanakwambia uyo ndio mikato yake hapo hata nauli utaombwa alikuwa kwangu uku amekaa mwezi mzima nikamtimua sasa ona mtu wa hivi unamfanyaje kama si mtimua
Dawa yake ni kumkatia tiketi ya basi aende Mombasa kurefresh mind hata miaka 10 akipenda kule kila kitu atapewa bure no doubt.
 
Umenikumbusha kipindi fulani naenda Mkoa X. Nimefika usiku saa 7 alietakiwa kunipokea hapatikani kwa simu, Sema kuna mama nilimsaidia kulea mtoto wakati tupo ndani ya gari wakati nimeshuka sijui nifanyeje niende wapi yule mama akaniona akaniomba nimsinfikize kwake coz ana mizigo na watoto 2 so hawaamini madereva bajaji wanaweza kumuibia.

Aisee sikuamini,Mungu anatoa msaada pale plan zako zote zimefeli hujui ushike lipi. Btw nilienda kwake nikashinda mpaka jioni ndio niliondoka. Sijawahi kumuona wala kuwasiliana nae tena
Aisee haya maisha,
siku moja nasafiri zangu kutoka Arusha kwenda Dom pembeni nimekaa na msichana hv mzuri, basi saa moja kama na nusu tumeingia Dodoma, dada wa watu kumbe anakwenda Mpwapwa anayempigia simu hapatikani alidai ni Bro wake.

Basi nikamwambia Kimasihara kuwa kama hatajali na kama ana amani moyoni twende nitakapofikia lengo likiwa nimchukulie chumba alale ili asbh aelekee Mpwapwa.
Kufika Lodge nafikiaga kuna chumba kimoja ambacho nilifanya booking.... yeye mwenyewe aliona mazingira hayo baada ya kuwa naongea na muhudumu, basi nikamwambia kama hutojali tutalala mzungu wa nne kwa shida akakubali.

Nikaenda kuchukua msosi kama kawaida Dodoma ni mwendo wa kuku na ndizi choma, tukale fresh..... Kiukweli kulala na mzigo hivi brand new ni kazi basi.... nikasema ngoja nivumilie huyu manzi asitoe tunda kwa shinikizo la shida aliyonayo.

Kukakucha fresh asbh alichangamka basi akaingia kupiga mshwaki na kubadili nguo bafuni tukatoka akaenda kunywa chai restraunt ya hapo lodge....nikamsindikiza Nane nane kupanda gari za Mpwapwa nikamuacha na Elfu 20k nikamwambia ongezea nauli.....Mawasiliano yaliendelea na anakili kwa kweli hakuamini kama angechomoka salama siku ile......... baadae alikuja kunipa tunda mwenyewe kwa matakwa yake na hadi sasa tuko poa nae!

Ungwana ni vitendo!!
 
Jamaa mmoja alinikuta na geto hapa Dsm tukiwa wote tumemaliza chuo tunapambana kitaa.

Tuliishi kama miezi 4, jamaa aliniudhi sana hakuwahi kuosha vyombo alinichukulia kama demu sijui, napika tunakula naosha vyombo daily jamaa ananipa stori tu nikiacha kuosha vyombo vitakaa hata wiki.

Mwishoni sana nilimchana akamaindi akasepa.

Kuna watu hawabebeki so tusilaumiane sana
Umefanya vzr Kama alikuwa aoshi vyombo
 
Aisee haya maisha,
siku moja nasafiri zangu kutoka Arusha kwenda Dom pembeni nimekaa na msichana hv mzuri mzuri basi saa moja kama na nusu tumeingia Dodoma, dada wa watu kumbe anakwenda Mpwapwa anayempigia simu hapatikani alidai ni Bro wake.

Basi nikamwambia Kimasihara kuwa kama hatajali na kama ana amani moyoni twende nilipofikia lengo likiwa nimchukulie chumba alale ili asbh aelekee Mpwapwa.
Kufika Lodge nafikiaga kuna chumba kimoja ambacho nilifanya booking.... yeye mwenyewe aliona mazingira hayo baada ya kuwa naongea na muhudumu, basi nikamwambia kama hutojali tutalala mzungu wa nne kwa shida akakubali.

Nikaenda kuchukua msosi kama kawaida Dodoma ni mwendo wa kuku na ndizi choma, tukale fresh..... Kiukweli kulala na mzigo hivi brand new ni kazi basi.... nikasema ngoja nivumilie huyu manzi asitoe tunda kwa shinikizo la shida aliyonayo.

Kukakucha fresh asbh alichangamka basi akaingia kupiga mshwaki na kubadili nguo bafuni tukatoka akaenda kunywa chai restraunt ya hapo lodge....nikamsindikiza Nane nane kupanda gari za Mpwapwa.....Mawasiliano yaliendelea na anakili kwa kweli hakuamini kama angechomoka salama siku ile......... baadae alikuja kunipa tunda mwenyewe kwa matakwa yake na hadi sasa tuko poa nae!

UUngwana ni vitendo!!
Approach yako kwa tukio hili nakuagiza uende pub iliyo karibu ukamwagile moyo kwa bill yangu.
 
Mkuu sasa chumba cha sindano ulifika vipi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😄😄Mm ni muuguzi apo nilikua najitolea sijajiriwa so nkarud lala apo ...nkawa nalala usku asubuhi napga Kaz mpk nlipopata Hela yangu
 
Back
Top Bottom