DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Umeomba lini msaada hii JF members wengi wapo dsmMbona tukiwaomba msaada tena huko huko Dar mnasema mko mikoani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeomba lini msaada hii JF members wengi wapo dsmMbona tukiwaomba msaada tena huko huko Dar mnasema mko mikoani?
Wewe ni binadamu dogo!2016..nimetoka home nimekuja kukaa na mchizi wangu
Getto kwao walikuwa na nyumba mbili
Yeye na getto lake kwao safi kidogo na sisi
Safi kidogo tumejuana ukubwani
Basi nikazoeleka hadi kwao ikawa ni kama kwetu
Kwa tabia nilizo kuwa nazo ikawa hata km sipo nimetoka wataniwekea chakula tu
Na nitaulizwa ulikuwa wapi? Mbn ujaaga
Basi nitakula nitarudi getto
Tumeishi hvyo hadi miaka 2 baadae huyo jamaa yangu alikuwa hawez kula hadi mm niwepo na mm ni km yy hata nikipata mchongo wwte lazma nimpe ela kidogo
Tukawa km ndugu nikaja kuajiriwa hadi sasa
Nina familia ya mtoto 1, sijaacha kwenda
Na wananipenda hadi leo hii,kila nikipita kawe mitaa ya maringo karibu na uwanja wa Tanganyika packers lzm nishuke kwenye gari nikasalimie nimekuta famikia imeongezeka kuna wajukuu wengi pale bs lazma nizame mfukoni niwanunulie japo
Juice juice au ice cream wale wajukuu
Kudumisha love na kulipa fadhila kidogo
Hakika mungu ni mwingi rehema.
Basi wa Dar mtakuwa na roho mbaya tu!Umeomba lini msaada hii JF members wengi wapo dsm
Umejuaje kuwa tuna roho mbayaBasi wa Dar mtakuwa na roho mbaya tu!
Hamtoagi msaada kwa wahitaji! Visingizio kibao!Umejuaje kuwa tuna roho mbaya
Wengi wanachagua chagua kazi,kujitenga na wahuni kunawanyima michongoGraduate mnapitia vipindi vigumu Sana ...pole Mkuu wadau wengi wa JF tupo dsm
Jaribu kwenda msikitini huku ukitafakari kuja hapa dsm huku ndo Kuna fursa na watu sio wabaya .
Graduate mtegemeeni Sana Mungu whatever what you going through.
Au kituo cha polisi, jeshini,pale bungeni au kwa mmiliki wa kampuni yoyote ya mabasi yanayokuja Dar.Pole sana aise. Nenda kanisani au msikitini utahifadhiwa tu
Tabia zao za chuo za kushindana kununua iPhone ndo zinawaponzaWengi wanachagua chagua kazi,kujitenga na wahuni kunawanyima michongo
AiseeeHivi kwanin wapo hivyo ni wachoyo sana au unakarimu ni zero tu?
Hizo dalili za uchoyo.Mwambie mtu kuwa sipo au nna mambo mengi na sio kukubali halaf hutokei
Hatar sana,vijana wanakazn kuonesha umwamba chuo,mwisho wanamaliza Account znasoma NEGATIVE BALANCE 😅😅😅Tabia zao za chuo za kushindana kununua iPhone ndo zinawaponza
Mtu hasiye na Kazi wala Ajira rasmi au isiyo rasmi ananunua simu ya laki tatu kwa kutumia Boom then akimaliza chuo account Inasoma 0-0 hanakosa hata pakuanzia while anafanya yote haya anakuwa anazijua Hali zao za nyumbani kuwa masikini wakutupwa .Hatar sana,vijana wanakazn kuonesha umwamba chuo,mwisho wanamaliza Account znasoma NEGATIVE BALANCE 😅😅😅
Mkuu sasa chumba cha sindano ulifika vipi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Pole kpnd Cha kumalza chuo kinakuaga kigumu sana me mwenyewe nlwai fukuzwa kijanja na shosti angu ...Iyo siku niliishia lala hospitali chumba Cha sindano[emoji846]..Maisha ni safari jamani ...
Nyumbani kwenu ni Dar? Kwa hiyo hapo kwa msela ulikuwa huna kibarua? Kilichokutoa nyumbani kwenu ni n
Eeeenh!!!!🤣🤣🤣🤣 Tanzania hamna stressNenda kwenye mkutano wa mwamposa