Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi pokelewa huko kama hana sadaka.Nenda kanisani au msikitini
Mpo wachoyoNyie mnalazimisha sana.mtu unaambia kisomi....sasa hivi ratiba zangu zipo tight sana. Unajibu ...nikija wala sitokusumbua sikai sana week 2 tu nashughulikia mambo yangu naondoka. Sasa kwa kuwa sisi hatupendi kupoteza muda tunakubali then....mnayaona.
Very true.Nyie mnalazimisha sana.mtu unaambia kisomi....sasa hivi ratiba zangu zipo tight sana. Unajibu ...nikija wala sitokusumbua sikai sana week 2 tu nashughulikia mambo yangu naondoka. Sasa kwa kuwa sisi hatupendi kupoteza muda tunakubali then....mnayaona.
Si suala la uchoyo mjini si sawa na huko mikoani. Maisha yamechange sana hata imani hakuna kwa sasa. Sisi wenyewe mjini unakuta mwaka hamwonani na mpo hapa hapa Dar Mwenge na Sinza tu hapo. Mkiwasiliana kwa simu inatosha. Wewe unataka uje then nianze kukutembeza viwanja. .Mpo wachoyo
Ume join JF jana tu ila upo kama unafahamuHabari za wakati huu Wana JF.
Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.
Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Kukaa kwa Mtu ni kazi ngumu sanaHabari za wakati huu Wana JF.
Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.
Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Vijana tambueni maisha ya chuo uliyoishi na mwenzio siyo maisha ambayo wote mnaenda kuishi baada ya chuo hilo mjue kuna watu wanabadilika kutokana na mazingira sasa kama wewe ubadiliki matokeo yake ndio haya
Mpo chuo life style yenu ni kusoma na bata mbebana gheto mpo wanne au watatu hayo ni maisha ya kupitia tu kuna mwingine anaishi hivyo akijua haya ni maisha ya mpito do mkiachana hapo kila mtu anaenda kuishi maisha yake ngoja nitoe kisha kimoja
Kuna jamaa tulisoma naye chuo maisha yalikuwa yakisela sana tena sana mlala gheto hili kesho kule mmeamkia club nk kwakua chuo basi shule ikaisha kila mtu akarudi kwao ikabadi mawasiliano ya sm tu kumbe moja wetu yeye aliendelea na maisha yake ya kisela hakutaka badilika watu wana familia tayali nk yeye bado usela haujamwisha
Akawa anakupigia sm oya nakuja uko unasema pouwa karibu siunajua ni jamaa pengine ana issue yake unampokea anakuja kwako anakuta una familia unampa chumba nalala shemeji yake anamkarimu vizuri unashangaa mwamba anaanza kutoa na ratiba ya msosi shem pika hiki leo kwakua mgeni unaona pouwa aisee mwamba wiki yupo
Wife anaanza kuuliza uyo hana kazi au kaijia nini unasema ngoja taongea na jamaa unatafuta mda ana muuliza mzee vipi unasikia nimekuja refresh mind hapo ndio unachoka yani baba jitu zima halina muelekeo unapigia sm jamaa wanakwambia uyo ndio mikato yake hapo hata nauli utaombwa alikuwa kwangu uku amekaa mwezi mzima nikamtimua sasa ona mtu wa hivi unamfanyaje kama si mtimua
Hata za buku 7 zipoHiv gest dodoma shillings ngap ile ya kawaida kabisa
Kwanza huyo kijana ajibu amekaa kwa mwenyeji wake muda gani hadi kafukuzwa?mama D, mpe kijana wako hifadhi. Natambua fika unafahamiana na watu wazito wazito wengi tu wa ccm pale Dodoma!
Kijana anahitaji kukaa siku kadhaa kwa mwenyeji wake mpya, kabla ya kutafuta nauli ya kurudi alikotokea. Si unaukumbuka ule mfano wetu wa Msamaria mwema kwenye Biblia? Tumia hii fursa ili uweze kupenya kwenye tundu la sindano.
Habari za wakati huu Wana JF.
Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.
Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
mama D, mpe kijana wako hifadhi. Natambua fika unafahamiana na watu wazito wazito wengi tu wa ccm pale Dodoma!
Kijana anahitaji kukaa siku kadhaa kwa mwenyeji wake mpya, kabla ya kutafuta nauli ya kurudi alikotokea. Si unaukumbuka ule mfano wetu wa Msamaria mwema kwenye Biblia? Tumia hii fursa ili uweze kupenya kwenye tundu la sindano.
Mbona tukiwaomba msaada tena huko huko Dar mnasema mko mikoani?90% tupo dsm Mkuu tunaperuzi JF