Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

hivi unawajua wenye tabia za uparasite? scenario zipo nyingi sana, mimi haitotokea kuishi na mtu ghetto moja, hata kushare sitting room na mwanaume siwezi, watu ni wabaya, nshamkaribisha mtu baada ya a level tunapiga tempo za kufundisha, napata mshahara napendeza san, mwana tuko nae job, sasa nikawa mzuri wa kulenga nguo pale dox, makunguru, i was good, sasa msela badala ya kuuliza tu kumbe wivu umemjaa kinoma, mimi nisijue, kumbe moyoni anaushindani. kama best nikamkaribisha nyumbani, ile tumelala usiku jamaa nikastukia kaamka anatoa viatu, raba zangu uvunguni anakagua na kushangaa, Mungu alinipa subra, ila baadae kumekucha nikamwambia nimeona kila kitu ulichofanya, dhamira yako nini, mimi nina roho nzuri unachotaka nikuuzie sema tu mi ntatafuta kingine usiwe na shaka. damn kuna watu akiwa mchawi hawasaidiki kamwe. si kila mtu ni mbaya ila wabaya husogelea wenye nacho ili wafanye yao.
noma sana! jamaa anakijicho/husda
 
Umenikumbusha kitu, niko na best bro alinitangulia darasa moja kasomea linguistic chuo, akiwa chuo kapiga sana pesa za tempo shule za dsm, nilianza life baada ya chuo kwa msoto sana, ndipo nikajifunza kama huna impact hutafutwi, alikuwa muwazi mwamba huna impact huwezi kutafutwa, mwamba alikuwa anamla mtoto wa mkuu fulani wa mkuu wa mkoa wa dsm mzee Kando, thamani yako itaaonekana kwenye michango ya Harusi tu, hata mende wasiojua ulipo watakuja kama omba omba. Sasa mwamba nawachana mende wote huku naburuza line.....tutafute pesa, tule maisha, tuwe na huruma, na upendo kwa wanaostahili. hainaga majivuno ila ukweli na hisia viwe wazi, we live once enjoy every moment at ur disposal. Maisha hayataki hasira slow down, make money, do mortgages, do bonds, invest, joke and laughs

Ukweli ni kwamba...huna pesa huna thamani.
Ukiwa huna pesa hata mbwa wako atakubwekea mchana kweupe.

Ukiona uthaminiwa ujue sio wewe bali vitu vyako.

Nimeona mengi na nina mifano mingi bali muda hautoshi
 
Umenikumbusha kitu, niko na best bro alinitangulia darasa moja kasomea linguistic chuo, akiwa chuo kapiga sana pesa za tempo shule za dsm, nilianza life baada ya chuo kwa msoto sana, ndipo nikajifunza kama huna impact hutafutwi, alikuwa muwazi mwamba huna impact huwezi kutafutwa, mwamba alikuwa anamla mtoto wa mkuu fulani wa mkuu wa mkoa wa dsm mzee Kando, thamani yako itaaonekana kwenye michango ya Harusi tu, hata mende wasiojua ulipo watakuja kama omba omba. Sasa mwamba nawachana mende wote huku naburuza line.....tutafute pesa, tule maisha, tuwe na huruma, na upendo kwa wanaostahili. hainaga majivuno ila ukweli na hisia viwe wazi, we live once enjoy every moment at ur disposal. Maisha hayataki hasira slow down, make money, do mortgages, do bonds, invest, joke and laughs
Umeongea Kikubwa Sana

"Tutafute hela,tu enjoy maisha tuwe na upendo na huruma kwa wanaostahili"
 
Kama ni mzima wa afya na siyo mlemavu, nakushauri acha kulialia kwanza Dodoma joto hata nje unaweza ukalala.
Mwanaume mwenyewe wa Dar ataweza wapi? Kujilizaliza tu utadhani stend hazipo, sites hazipo akalale huko aendelee kupambana.
Tena Dar ndio hawanaga huruma nimelala sana site za watu, nimelala saaana stend, sharobaro wa siku upambanaji ni 0
 
Habari za wakati huu Wana JF.

Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.

Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Pole jamaa, nakumbuka kuna kipindi natoka mkoani naenda Dar nimeshaa chonga na ndugu yangu vzr kabisa kwamba nitatua kwake.

Nakaribia kufika napiga simu haipokelewi, nikajua normal tu, hee nashuka naona simu haipokelewi.
Asnte Yesu nikikua vzr mfukoni ikabidi niingie lodge tu, nikapata akili kumbe binadamu sie dah.!

Hakunitafutaga mpaka leo japo kwenye masuala muhimu huwa tunakutana mfano misiba lkn hakuwahi wala sikuwah muuliza ilikuaje.
Mtihani mkubwa sana huo isee!
 
Habari za wakati huu Wana JF.

Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.

Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Bado mgeni dom inamaana umefika kwa huyo rafiki yako akakufukuza ndani ya siku 2 au 3?
 
Habari za wakati huu Wana JF.

Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.

Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Umejiunga leo na unaomba msaada leo, pole lakini nina wasiwasi kidogo kama story yako ina ukweli wowote, hope watakusaidia
 
Aisee...

Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.

Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.

Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
...Ameishashindwa Kaka! Ndio maana anaomba Hifadhi Kwa Watu. Ajiongeze na apambane....There is no Free Lunch...!
 
Aisee...

Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.

Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.

Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
...Ameishashindwa Kaka! Ndio maana anaomba Hifadhi Kwa Watu. Ajiongeze na apambane....There is no Free Lunch...!
 
Back
Top Bottom