Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

Ila Kuna mwamba anatoka Dom saa tano usiku kakuambia mcheki basi urudi,ukikutana nae na huakika akileta mrejesho itajulikana mbele kwa mbele
 
Binafsi sipendi mgeni asie na ratiba ya kuondoka nikimleta ghetto, namkumbuka mtu aliependa tukae chumba kimoja hata pale ambapo ilipatikana fursa ya yeye kukaa chumba chake, jamani kuna jamii za watu/ makabila ni bahili, sijui alikuwa anadhamili anichunguze anijue, sitasahau. as life unfolds he has never been a good person to me anyway, he doesnt share his secrets but he likes knowing a lot about others.
 
Lkn ni unyama, maisha ni mzunguko wa ajabu sana.
Leo kwa huyu kesho kwake.

Utashangaa sana huyu jamaa siku akitoboa na jamaa yake aweza kuwa na wakati mgumu kiasi cha kuhitaji msaada kwa huyu
ukiona tukio kama hili hawana urafiki, kuna mmoja kaungwa na jamaa kwa mwenzie, au kuna wale matozi wasiochangia chochote pesa wanazo, au uko bwege lakini ni nyoka unatamani demu wa mwenizo, au mdokozi, au story za kujigamba nyingi, kuvaa kwing, bando la simu full, lakini gheto huna mchango wowote, unakaa kwangu halafu unanisengenya san. huyu mwamba anatakiwa aongeze nyama kwenye story yake ikamilike
 
ukiona tukio kama hili hawana urafiki, kuna mmoja kaungwa na jamaa kwa mwenzie, au kuna wale matozi wasiochangia chochote pesa wanazo, au uko bwege lakini ni nyoka unatamani demu wa mwenizo, au mdokozi, au story za kujigamba nyingi, kuvaa kwing, bando la simu full, lakini gheto huna mchango wowote, unakaa kwangu halafu unanisengenya san. huyu mwamba anatakiwa aongeze nyama kwenye story yake ikamilike
Why vijana mmekuwa depressed Sana Ni life limewachapa au stress?

Ukiishi gheto na thug mwenzio Mwambie Mapema kuhusu vitu vya msngi ili ikifika Muda wake achimbe in peaceful way
 
Pole jamaa, nakumbuka kuna kipindi natoka mkoani naenda Dar nimeshaa chonga na ndugu yangu vzr kabisa kwamba nitatua kwake.

Nakaribia kufika napiga simu haipokelewi, nikajua normal tu, hee nashuka naona simu haipokelewi.
Asnte Yesu nikikua vzr mfukoni ikabidi niingie lodge tu nikapata akili kumbe binadamu sie dah.!

Hakunitafutaga mpaka leo japo kwenye masuala muhimu huwa tunakutana mfano misiba lkn hakuwahi wala sikuwah muuliza ilikuaje.
Watu wa dar ndo walivyo....uhuni uhuni
 
Aisee...

Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.

Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.

Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
Nenda hata kituo cha police weka mambo yako sawa, police wanaweza kukuombea gari yeyote ukafika dar usipoteze muda
 
Why vijana mmekuwa depressed Sana Ni life limewachapa au stress?

Ukiishi gheto na thug mwenzio Mwambie Mapema kuhusu vitu vya msngi ili ikifika Muda wake achimbe in peaceful way
hivi unawajua wenye tabia za uparasite? scenario zipo nyingi sana, mimi haitotokea kuishi na mtu ghetto moja, hata kushare sitting room na mwanaume siwezi, watu ni wabaya, nshamkaribisha mtu baada ya a level tunapiga tempo za kufundisha, napata mshahara napendeza san, mwana tuko nae job, sasa nikawa mzuri wa kulenga nguo pale dox, makunguru, i was good, sasa msela badala ya kuuliza tu kumbe wivu umemjaa kinoma, mimi nisijue, kumbe moyoni anaushindani. kama best nikamkaribisha nyumbani, ile tumelala usiku jamaa nikastukia kaamka anatoa viatu, raba zangu uvunguni anakagua na kushangaa, Mungu alinipa subra, ila baadae kumekucha nikamwambia nimeona kila kitu ulichofanya, dhamira yako nini, mimi nina roho nzuri unachotaka nikuuzie sema tu mi ntatafuta kingine usiwe na shaka. damn kuna watu akiwa mchawi hawasaidiki kamwe. si kila mtu ni mbaya ila wabaya husogelea wenye nacho ili wafanye yao.
 
Umenikumbusha kipindi fulani naenda Mkoa X. Nimefika usiku saa 7 alietakiwa kunipokea hapatikani kwa simu, Sema kuna mama nilimsaidia kulea mtoto wakati tupo ndani ya gari wakati nimeshuka sijui nifanyeje niende wapi yule mama akaniona akaniomba nimsinfikize kwake coz ana mizigo na watoto 2 so hawaamini madereva bajaji wanaweza kumuibia.

Aisee sikuamini,Mungu anatoa msaada pale plan zako zote zimefeli hujui ushike lipi. Btw nilienda kwake nikashinda mpaka jioni ndio niliondoka. Sijawahi kumuona wala kuwasiliana nae tena
God works in mysterious ways
 
Mkuu
Endapo hautopata msaada wowote hadi muda huu basi fika kituo chochote cha polisi utapta msaada bana.

Ukiwaeleza issue yako wanaweza hata kushauriana na mwenyeji wako au namna ya kukupatia hifadhi kwa muda unaosubiri nauli

Na kama unataka kurudi Dar kwa namna yeyote, polisi wanaweza kukuombea lift kwenye malori ya mizigo ukafika Dar hata kesho
Maisha haya doh,inafika hatua unaungama kwa polisi wakusaidie.mwanetu mungu amsaidie ikiwezekana akalale stendi halafu asubuhi aamkie ustawi wa jamii watamsaidia
 
Aisee...

Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.

Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.

Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
Hii inanikumbusha story iliyobamba humu jamvin ya JF person of the year 2022 master mpwayungu village safari ya lindi
 
Back
Top Bottom