Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Ya elfu 5 unapata ila utatoka na kunguni!Hiv gest dodoma shillings ngap ile ya kawaida kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya elfu 5 unapata ila utatoka na kunguni!Hiv gest dodoma shillings ngap ile ya kawaida kabisa
Isiwe na roho mbaya hivyo uyo jamaa Kuna siku atakuja kuja kukusaidia na hautoamini maisha haya hayatabirikiMaisha magumu sana , kuna jamaa nae nipo hapa mwezi wa tatu ananifilisi tu soon namfukuza na yeye gheto kwangu
Lkn ni unyama, maisha ni mzunguko wa ajabu sana.Naona jamaa wako kakufukuza kijanja usikute hata mwanamke hatokaa nae katafuta njia ya kukutoa hapo geto
ukiona tukio kama hili hawana urafiki, kuna mmoja kaungwa na jamaa kwa mwenzie, au kuna wale matozi wasiochangia chochote pesa wanazo, au uko bwege lakini ni nyoka unatamani demu wa mwenizo, au mdokozi, au story za kujigamba nyingi, kuvaa kwing, bando la simu full, lakini gheto huna mchango wowote, unakaa kwangu halafu unanisengenya san. huyu mwamba anatakiwa aongeze nyama kwenye story yake ikamilikeLkn ni unyama, maisha ni mzunguko wa ajabu sana.
Leo kwa huyu kesho kwake.
Utashangaa sana huyu jamaa siku akitoboa na jamaa yake aweza kuwa na wakati mgumu kiasi cha kuhitaji msaada kwa huyu
So unataka na jamaa naye aungwe hapa JF? Mleta uzi mtag jamaa aje hapa tumhoji kwa nini kaleta demu ghafla na kukutaka uondoke.Tumesikiliza upande mmoja...
Tunaweza tukaona jamaa amekosea kumleta dem wake hapo kwake kumbe shida iko kwako....
Lazima tu-balance hii habari.
Mwelekeze jamaa ulipokuwa unalala naye aende hapo kwa usiku huu.Nimelala soko la sabasaba sana
Why vijana mmekuwa depressed Sana Ni life limewachapa au stress?ukiona tukio kama hili hawana urafiki, kuna mmoja kaungwa na jamaa kwa mwenzie, au kuna wale matozi wasiochangia chochote pesa wanazo, au uko bwege lakini ni nyoka unatamani demu wa mwenizo, au mdokozi, au story za kujigamba nyingi, kuvaa kwing, bando la simu full, lakini gheto huna mchango wowote, unakaa kwangu halafu unanisengenya san. huyu mwamba anatakiwa aongeze nyama kwenye story yake ikamilike
Watu wa dar ndo walivyo....uhuni uhuniPole jamaa, nakumbuka kuna kipindi natoka mkoani naenda Dar nimeshaa chonga na ndugu yangu vzr kabisa kwamba nitatua kwake.
Nakaribia kufika napiga simu haipokelewi, nikajua normal tu, hee nashuka naona simu haipokelewi.
Asnte Yesu nikikua vzr mfukoni ikabidi niingie lodge tu nikapata akili kumbe binadamu sie dah.!
Hakunitafutaga mpaka leo japo kwenye masuala muhimu huwa tunakutana mfano misiba lkn hakuwahi wala sikuwah muuliza ilikuaje.
Nenda hata kituo cha police weka mambo yako sawa, police wanaweza kukuombea gari yeyote ukafika dar usipoteze mudaAisee...
Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.
Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.
Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
Acha roho mbayaaMaisha magumu sana , kuna jamaa nae nipo hapa mwezi wa tatu ananifilisi tu soon namfukuza na yeye gheto kwangu
Famasihara nnNenda kwenye mkutano wa mwamposa
Kazi za kuisha mwaka wa fedha, ukisikia mfumo umefungwa utalia mpaka basi.Kama una akiba ya pesa kidogo nenda sabasaba upumzike hapo,kesho asubuhi panda gari za kwenda Chamwino afu ushuke mji wa kiserikali.
Nenda kwenye site kuna kazi nyingi za kibarua pia kuna Kambi za kulala.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
hivi unawajua wenye tabia za uparasite? scenario zipo nyingi sana, mimi haitotokea kuishi na mtu ghetto moja, hata kushare sitting room na mwanaume siwezi, watu ni wabaya, nshamkaribisha mtu baada ya a level tunapiga tempo za kufundisha, napata mshahara napendeza san, mwana tuko nae job, sasa nikawa mzuri wa kulenga nguo pale dox, makunguru, i was good, sasa msela badala ya kuuliza tu kumbe wivu umemjaa kinoma, mimi nisijue, kumbe moyoni anaushindani. kama best nikamkaribisha nyumbani, ile tumelala usiku jamaa nikastukia kaamka anatoa viatu, raba zangu uvunguni anakagua na kushangaa, Mungu alinipa subra, ila baadae kumekucha nikamwambia nimeona kila kitu ulichofanya, dhamira yako nini, mimi nina roho nzuri unachotaka nikuuzie sema tu mi ntatafuta kingine usiwe na shaka. damn kuna watu akiwa mchawi hawasaidiki kamwe. si kila mtu ni mbaya ila wabaya husogelea wenye nacho ili wafanye yao.Why vijana mmekuwa depressed Sana Ni life limewachapa au stress?
Ukiishi gheto na thug mwenzio Mwambie Mapema kuhusu vitu vya msngi ili ikifika Muda wake achimbe in peaceful way
God works in mysterious waysUmenikumbusha kipindi fulani naenda Mkoa X. Nimefika usiku saa 7 alietakiwa kunipokea hapatikani kwa simu, Sema kuna mama nilimsaidia kulea mtoto wakati tupo ndani ya gari wakati nimeshuka sijui nifanyeje niende wapi yule mama akaniona akaniomba nimsinfikize kwake coz ana mizigo na watoto 2 so hawaamini madereva bajaji wanaweza kumuibia.
Aisee sikuamini,Mungu anatoa msaada pale plan zako zote zimefeli hujui ushike lipi. Btw nilienda kwake nikashinda mpaka jioni ndio niliondoka. Sijawahi kumuona wala kuwasiliana nae tena
Maisha haya doh,inafika hatua unaungama kwa polisi wakusaidie.mwanetu mungu amsaidie ikiwezekana akalale stendi halafu asubuhi aamkie ustawi wa jamii watamsaidiaMkuu
Endapo hautopata msaada wowote hadi muda huu basi fika kituo chochote cha polisi utapta msaada bana.
Ukiwaeleza issue yako wanaweza hata kushauriana na mwenyeji wako au namna ya kukupatia hifadhi kwa muda unaosubiri nauli
Na kama unataka kurudi Dar kwa namna yeyote, polisi wanaweza kukuombea lift kwenye malori ya mizigo ukafika Dar hata kesho
Hii inanikumbusha story iliyobamba humu jamvin ya JF person of the year 2022 master mpwayungu village safari ya lindiAisee...
Nakuomba panda daladala hapo nkuhungu ingia Town jichanganye saba saba Mungu atafungua milango tu.
Kaka Uaminifu umepungua kwa sasa usitafute kupewa hifadhi kiurahisi rahisi hivyo so pambana kaka.
Kama utaona umeshindwa naomba urudi dar mapema
mpaka