ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,935
Nichek, ila uwe tayar kunip namba ya jamaa pia kwa matter za usalama,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BadoUmepata pa kujihifadhi?
Bado ndugu yanguUmepata pa kujihifadhi?
Hahaaaaa, alikujaje ( mlikubalianaje)Maisha magumu sana , kuna jamaa nae nipo hapa mwezi wa tatu ananifilisi tu soon namfukuza na yeye gheto kwangu
Ndugu yangu alikuwa akinisaidia pa kukaa tu. Chakula na gharama nyingine vilikuwa juu yangu nilikuja na saving.Maisha magumu sana , kuna jamaa nae nipo hapa mwezi wa tatu ananifilisi tu soon namfukuza na yeye gheto kwangu
Mtumish kabisa serikalin alisema anakaa mwezi ili salary ile September ataondoka akapange matokeo sijui alihonga.. navumilia salary hii asipoondoka namtimua 😂😂😂Hahaaaaa, alikujaje ( mlikubalianaje)
Mkuu wadau wengi wa JF mpo dsm.... anyway ameshaelewa lakiniGraduate mnapitia vipindi vigumu Sana ...pole Mkuu wadau wengi wa JF tupo dsm
Jaribu kwenda msikitini huku ukitafakari kuja hapa dsm huku ndo Kuna fursa na watu sio wabaya .
Graduate mtegemeeni Sana Mungu whatever what you going through.
90% tupo dsm Mkuu tunaperuzi JFMkuu wadau wengi wa JF mpo dsm.... anyway ameshaelewa lakini
Graduate mnapitia vipindi vigumu Sana ...pole Mkuu wadau wengi wa JF tupo dsm
.
Sawa mkuuAkili mgando. Unadhani JF inapatikana Dar tu?
Nyumbani kwenu ni Dar? Kwa hiyo hapo kwa msela ulikuwa huna kibarua? Kilichokutoa nyumbani kwenu ni nini?Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.