A HUMBLE LEADER
Senior Member
- Sep 21, 2022
- 138
- 343
Pole sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila anaejiunga jf leo ni mgeniUmejiunga leo na unaomba msaada leo, pole lakini nina wasiwasi kidogo kama story yako ina ukweli wowote, hope watakusaidia
Ni jina..sio majinaSio jina, ni majina. David+Mathias
Ukijiuliza sana maswali huwezi saidia ndg.wewe uliokuwa unaomba msaada please, naomba useme hapa wewe nyumbani ni dom au dar na je hujawasiliana na watu huko wakupe nauli urudi au kuna mazingira gani haswa, ukweli nilitaka nitoe msaada japo dereva kanipiga maswali kadhaa hapa ikanifanya nishtuke hebu jibu maswali haya kama nitaona mwanga basi hata kesho naweza kukutafutia usafiri kutoka dom kuja dar ila mimi ndio natoka Chamwino now hebu kuwa mkweli usaidike rafiki
Hapana Komeo, hapo pana ukweli. Kuna bestiangu yuko Dar, sasa siku moja nikatoka safarini nje ya Tz, niliwasiliana naye vizuri kuwa nitafika saa nane usiku na Ethiopian. Akaniahidi kunipokea maana nitafika usiku sana. Kwakweli nilijihisi poa maana ni jamaa tumesoma wote since Primary na anakazi nzuri tu. Kesho yake nilikuwa naunganisha flight kwenda Mwanza. Sasa nafika Dar ile saa nane usiku kwani jamaa anapokea simu nilipiga kama mara tatu hakupokea na kesho yake hakunitafuta may be alipitiwa. Nikawaza nikasema mambo gani haya wakati nimechart naye past three hours nikiwa Addis. Watu wa Dar huwa nawacheki tu japo sina kinyongo na sitakuwa nacho. Uzuri nilikuwa vizuri so nikaongea na tax driver mmoja akanipeleka Hotelin na life likaendelea. Ila watu wa Dar usiwaamini hata kwa nukta moja. Usitoke mkoani kufuata mshkaji Dar, utalizwa mno.Haya ni Makasiriko. Why?
Au polisiNenda kanisani au msikitini
Hapana Komeo, hapo pana ukweli. Kuna bestiangu yuko Dar, sasa siku moja nikatoka safarini nje ya Tz, niliwasiliana naye vizuri kuwa nitafika saa nane usiku na Ethiopian. Akaniahidi kunipokea maana nitafika usiku sana. Kwakweli nilijihisi poa maana ni jamaa tumesoma wote since Primary na anakazi nzuri tu. Kesho yake nilikuwa naunganisha flight kwenda Mwanza. Sasa nafika Dar ile saa nane usiku kwani jamaa anapokea simu nilipiga kama mara tatu hakupokea na kesho yake hakunitafuta may be alipitiwa. Nikawaza nikasema mambo gani haya wakati nimechart naye past three hours nikiwa Addis. Watu wa Dar huwa nawacheki tu japo sina kinyongo na sitakuwa nacho. Uzuri nilikuwa vizuri so nikaongea na tax driver mmoja akanipeleka Hotelin na life likaendelea. Ila watu wa Dar usiwaamini hata kwa nukta moja. Usitoke mkoani kufuata mshkaji Dar, utalizwa mno.
[emoji3][emoji3] wengi ni unafiki waonekane wema, ni bora mtu umwambie sitaki/siwezHapana Komeo, hapo pana ukweli. Kuna bestiangu yuko Dar, sasa siku moja nikatoka safarini nje ya Tz, niliwasiliana naye vizuri kuwa nitafika saa nane usiku na Ethiopian. Akaniahidi kunipokea maana nitafika usiku sana. Kwakweli nilijihisi poa maana ni jamaa tumesoma wote since Primary na anakazi nzuri tu. Kesho yake nilikuwa naunganisha flight kwenda Mwanza. Sasa nafika Dar ile saa nane usiku kwani jamaa anapokea simu nilipiga kama mara tatu hakupokea na kesho yake hakunitafuta may be alipitiwa. Nikawaza nikasema mambo gani haya wakati nimechart naye past three hours nikiwa Addis. Watu wa Dar huwa nawacheki tu japo sina kinyongo na sitakuwa nacho. Uzuri nilikuwa vizuri so nikaongea na tax driver mmoja akanipeleka Hotelin na life likaendelea. Ila watu wa Dar usiwaamini hata kwa nukta moja. Usitoke mkoani kufuata mshkaji Dar, utalizwa mno.
Tena kwa mademu kama nyie ndo huwa kabisa hatuwaamini. Kwa wana angalau... Unaweza kutuchukia bure tu....ila tunajua hii dunia ishaharibika sana.Hivi kwanin wapo hivyo ni wachoyo sana au unakarimu ni zero tu?
Hapana Komeo, hapo pana ukweli. Kuna bestiangu yuko Dar, sasa siku moja nikatoka safarini nje ya Tz, niliwasiliana naye vizuri kuwa nitafika saa nane usiku na Ethiopian. Akaniahidi kunipokea maana nitafika usiku sana. Kwakweli nilijihisi poa maana ni jamaa tumesoma wote since Primary na anakazi nzuri tu. Kesho yake nilikuwa naunganisha flight kwenda Mwanza. Sasa nafika Dar ile saa nane usiku kwani jamaa anapokea simu nilipiga kama mara tatu hakupokea na kesho yake hakunitafuta may be alipitiwa. Nikawaza nikasema mambo gani haya wakati nimechart naye past three hours nikiwa Addis. Watu wa Dar huwa nawacheki tu japo sina kinyongo na sitakuwa nacho. Uzuri nilikuwa vizuri so nikaongea na tax driver mmoja akanipeleka Hotelin na life likaendelea. Ila watu wa Dar usiwaamini hata kwa nukta moja. Usitoke mkoani kufuata mshkaji Dar, utalizwa mno.
Boss, huyu Kaomba hifadhi, sio lawama kwa aliyemfukuza.Tumesikiliza upande mmoja...
Tunaweza tukaona jamaa amekosea kumleta dem wake hapo kwake kumbe shida iko kwako....
Lazima tu-balance hii habari.
Mwambie mtu kuwa sipo au nna mambo mengi na sio kukubali halaf hutokeiTena kwa mademu kama nyie ndo huwa kabisa hatuwaamini. Kwa wana angalau... Unaweza kutuchukia bure tu....ila tunajua hii dunia ishaharibika sana.
Nyie mnalazimisha sana.mtu unaambia kisomi....sasa hivi ratiba zangu zipo tight sana. Unajibu ...nikija wala sitokusumbua sikai sana week 2 tu nashughulikia mambo yangu naondoka. Sasa kwa kuwa sisi hatupendi kupoteza muda tunakubali then....mnayaona.Mwambie mtu kuwa sipo au nna mambo mengi na sio kukubali halaf hutokei
mama D, mpe kijana wako hifadhi. Natambua fika unafahamiana na watu wazito wazito wengi tu wa ccm pale Dodoma!Nenda kanisani au msikitini
Stori yako ni nzuri lkn kuna ushamba ulikuwa nako yani yeye kukagua hvyo viatu vyako kosa n nn?? Wala hakuibahivi unawajua wenye tabia za uparasite? scenario zipo nyingi sana, mimi haitotokea kuishi na mtu ghetto moja, hata kushare sitting room na mwanaume siwezi, watu ni wabaya, nshamkaribisha mtu baada ya a level tunapiga tempo za kufundisha, napata mshahara napendeza san, mwana tuko nae job, sasa nikawa mzuri wa kulenga nguo pale dox, makunguru, i was good, sasa msela badala ya kuuliza tu kumbe wivu umemjaa kinoma, mimi nisijue, kumbe moyoni anaushindani. kama best nikamkaribisha nyumbani, ile tumelala usiku jamaa nikastukia kaamka anatoa viatu, raba zangu uvunguni anakagua na kushangaa, Mungu alinipa subra, ila baadae kumekucha nikamwambia nimeona kila kitu ulichofanya, dhamira yako nini, mimi nina roho nzuri unachotaka nikuuzie sema tu mi ntatafuta kingine usiwe na shaka. damn kuna watu akiwa mchawi hawasaidiki kamwe. si kila mtu ni mbaya ila wabaya husogelea wenye nacho ili wafanye yao.