Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

90% tupo dsm Mkuu tunaperuzi JF
hapa nakupinga wengi wanajinasibu wako dsm ila ukwel jf ina watu toka sehem mbali mbali.
Ni sawacna uulizie matajiri jf utakuta 90% ni matajiri ila ukwel unajulikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa mmoja alinikuta na geto hapa Dsm tukiwa wote tumemaliza chuo tunapambana kitaa.

Tuliishi kama miezi 4, jamaa aliniudhi sana hakuwahi kuosha vyombo alinichukulia kama demu sijui, napika tunakula naosha vyombo daily jamaa ananipa stori tu nikiacha kuosha vyombo vitakaa hata wiki.

Mwishoni sana nilimchana akamaindi akasepa.

Kuna watu hawabebeki so tusilaumiane sana
 
Kila mmoja huitetea nafasi yake bana bana....
 
Kwa watu wasiowahi kusafiri hawawezi kujua haya mambo watamdhihaki mtoa mada hivi vitu huwa vinatokea kwenye maisha
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mashaisha yamebadilika sana huwezi ukaa kwa mtu mda mrefu atakuchoka tu na hio gia mwanamke ni zuga alishindwa kukwambia ukweli
 
Dawa yake ni kumkatia tiketi ya basi aende Mombasa kurefresh mind hata miaka 10 akipenda kule kila kitu atapewa bure no doubt.
 
Aisee haya maisha,
siku moja nasafiri zangu kutoka Arusha kwenda Dom pembeni nimekaa na msichana hv mzuri, basi saa moja kama na nusu tumeingia Dodoma, dada wa watu kumbe anakwenda Mpwapwa anayempigia simu hapatikani alidai ni Bro wake.

Basi nikamwambia Kimasihara kuwa kama hatajali na kama ana amani moyoni twende nitakapofikia lengo likiwa nimchukulie chumba alale ili asbh aelekee Mpwapwa.
Kufika Lodge nafikiaga kuna chumba kimoja ambacho nilifanya booking.... yeye mwenyewe aliona mazingira hayo baada ya kuwa naongea na muhudumu, basi nikamwambia kama hutojali tutalala mzungu wa nne kwa shida akakubali.

Nikaenda kuchukua msosi kama kawaida Dodoma ni mwendo wa kuku na ndizi choma, tukale fresh..... Kiukweli kulala na mzigo hivi brand new ni kazi basi.... nikasema ngoja nivumilie huyu manzi asitoe tunda kwa shinikizo la shida aliyonayo.

Kukakucha fresh asbh alichangamka basi akaingia kupiga mshwaki na kubadili nguo bafuni tukatoka akaenda kunywa chai restraunt ya hapo lodge....nikamsindikiza Nane nane kupanda gari za Mpwapwa nikamuacha na Elfu 20k nikamwambia ongezea nauli.....Mawasiliano yaliendelea na anakili kwa kweli hakuamini kama angechomoka salama siku ile......... baadae alikuja kunipa tunda mwenyewe kwa matakwa yake na hadi sasa tuko poa nae!

Ungwana ni vitendo!!
 
Umefanya vzr Kama alikuwa aoshi vyombo
 
Approach yako kwa tukio hili nakuagiza uende pub iliyo karibu ukamwagile moyo kwa bill yangu.
 
Mkuu sasa chumba cha sindano ulifika vipi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😄😄Mm ni muuguzi apo nilikua najitolea sijajiriwa so nkarud lala apo ...nkawa nalala usku asubuhi napga Kaz mpk nlipopata Hela yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…