Nimefukuzwa tena kundini

Nimefukuzwa tena kundini

Nini kifanyike ili wazee wetu wawepo kwenye Historia rasmi.?
Stalin,
Kilichotakiwa kufanya kimeshafanyika nacho ni kuandikwa historia yao na kuchapa kitabu.
Kitabu kimeandikwa kipo toka 1998 kinakwenda sasa chapa ya tano kwa Kiswahili na Kiingereza.

1695321828872.png
 
Mlahala sana nkoi?

Aleyommba gekke acha udini

Bhujiku ng'waka
Sol...
Hili la dini nimelijibu mara nyingi kuwa laiti ningeandika dini nisingeingia katika Cambridge Journal of African History, Dictionary of African Biography, nisingealikwa na vyuo vikuu kuzungumza na mengi tu na wala nisingetambuliwa hapa JF kama Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

1695323606651.png


1695322514791.png

Maxence Melo aliponitembelea nyumbani kunikabidhi zawadi ya simu na cheti​
 
Glenn...
Hapana huwezi kuchoka kusoma historia hii.
Si kama najisifu ''track record'' inaonyesha hivyo.

Niko full booked ''Nyerere Day.''
Ukipenda ingia You Tube angalia video za nyuma Nyerere Day nimezungumza stesheni ngapi?

Sioni hiyo ''negativity'' labda utuwekee hapa kila mtu ashuhudie.
Kusahihisha historia iliyofuta ni kupalilia udini?

Vipi kufuta historia ya Waislam hicho ni nini?
Mimi sijahisi hata siku moja kama nachukiwa.

Sijua wewe hili kuwa nachukiwa umelipata wapi?
Naandikiwa na watu wengi sana wakiomba kunitembelea.

Hapa JF nimekuwa Mwandishi Bora Jukwa la Historia mara mbili mfululizo mwaka wa 2021 na 2022.

Maktaba yangu ni kati ya Maktaba tatu bora zilizosheheni historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere: Maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. General Hashim Mbita na yangu Mohamed Said.

Haya yameandikwa kwenye kitabu: ''Nyerere Biography'' (2020).
Je, hizi ni dalili za mtu anaechukiza?
Mohamed Said, umenena vyema, ni bora umeandika historia iliyosahaulika kama unavodai, Kama umeshaiandika na tuzo umepata na unatambulika kwa juhudi zako hizo, kwa nini unaendelea kulalamika? Ni historia ya Waislam wapi ilitaka kusahaulika kwa sababu ya Uislamu wao? Hichi kitu ndicho ninachokiita negativity dhidi ya watu wa dini nyingine.

Vitabu vyote vya historia nilivyovisoma uko nyuma vya tangu harakati za kupigania uhuru vinaelezea kila mtu na mchango wake katika harakati hizo bila kubagua watu wa dini fulani. Na vingine vilienda mbali zaidi vikaeleza michango ya taasisi fulanifulani ktk hizo harakati. Na taasis nyingine hadi ziliongezea nauli kwa Nyerere kipindi anaenda UNO, na kuifadhi familia yake. Mbona hiyo michango ya hizo taasisi sioni ukiisistaza na kuitambua ktk maandiko yako? Au kwa vile hizo taasisi haziusiani na Uislamu?

Maandiko yako yangevutia sana, bwana Said, kama usingekuwa mbaguzi kwa misingi ya dini.
 
Sol...
Hili la dini nimelijibu mara nyingi kuwa laiti ningeandika dini nisingeingia katika Cambridge Journal of African History, Dictionary of African Biography, nisingealikwa na vyuo vikuu kuzungumza na mengi tu na wala nisingetambuliwa hapa JF kama Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

View attachment 2757472

View attachment 2757435
Maxence Melo aliponitembelea nyumbani kunikabidhi zawadi ya simu na cheti​

Assalaam alaikum akhi Mohammed, hiyo comment nimemjibu Glenn, aache udini
 
Mohamed Said, umenena vyema, ni bora umeandika historia iliyosahaulika kama unavodai, Kama umeshaiandika na tuzo umepata na unatambulika kwa juhudi zako hizo, kwa nini unaendelea kulalamika? Ni historia ya Waislam wapi ilitaka kusahaulika kwa sababu ya Uislamu wao? Hichi kitu ndicho ninachokiita negativity dhidi ya watu wa dini nyingine.

Vitabu vyote vya historia nilivyovisoma uko nyuma vya tangu harakati za kupigania uhuru vinaelezea kila mtu na mchango wake katika harakati hizo bila kubagua watu wa dini fulani. Na vingine vilienda mbali zaidi vikaeleza michango ya taasisi fulanifulani ktk hizo harakati. Na taasis nyingine hadi ziliongezea nauli kwa Nyerere kipindi anaenda UNO, na kuifadhi familia yake. Mbona hiyo michango ya hizo taasisi sioni ukiisistaza na kuitambua ktk maandiko yako? Au kwa vile hizo taasisi haziusiani na Uislamu?

Maandiko yako yangevutia sana, bwana Said, kama usingekuwa mbaguzi kwa misingi ya dini.
Mbussi,
Silalamiki.
Historia hii niliyoandika ilikuwako?

Ulipata kumsoma Sheikh Hassan bin Ameir katika historia ya kupigania uhuru au Sheikh Mohamed Yusuf Badi?

Majina ni mengi.
Huijui historia ya safari ya Mwalimu Nyerere UNO.

Mkusanyaji wa fedha hizo alikuwa Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU.

Hizo taasisi zilizochangia ni zipi.

Ingia: mohamedsaidsalum.blogspot.com au hapa JF Jukwaa la Historia mtafute Iddi Faiz.

Kadi yake ya TANU No. 24 na alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Arnautoglo uliohudhuriwa na watu wasiozidi 20.

Mimi hii ni historia ya wazee wangu sikusoma kwenye kitabu.
Mimi ndiye nimeandika kitabu msome muijue.

Nani kakuambia maandiko yangu hayavutii?

Angalia watu wangapi wako hapa wananisoma.
 
Mbussi,
Silalamiki.

Historia hii niliyoandika ilikuwako?

Ulipata kumsoma Sheikh Hassan bin Ameir katika historia ya kupigania uhuru au Sheikh Mohamed Yusuf Badi?

Majina ni mengi.

Huijui historia ya safari ya Mwalimu Nyerere UNO.

Mkusanyaji wa fedha hizo alikuwa Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU.

Hizo taasisi zilizochangia ni zipi.

Ingia: mohamedsaidsalum.blogspot.com au hapa JF Jukwaa la Historia mtafute Iddi Faiz.

Kadi yake ya TANU No. 24 na alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Arnautoglo uliohudhuriwa na watu wasiozidi 20.

Mimi hii ni historia ya wazee wangu sikusoma kwenye kitabu.

Mimi ndiye nimeandika kitabu msome muijue.

Nani kakuambia maandiko yangu hayavutii?

Angalia watu wangapi wako hapa wananisoma.
Mohamed Said, hao unaowaita wazee wako pengine walikusimulia na unataka tukuamini wewe tu? Hukuwepo na kama ulikuwepo ulikuwa mdogo. Kwann hutaki kuamini watu wengine?

Haya twende, wakati Nyerere anaenda UNO, pamoja na hiyo michango, nusu ya nauli ilitolewa na white farthers wa kanisa katoliki na familia yake muda mrefu ilifichwa kwanye wamissionary uko Tosamaganga. Hivyo wakati wa hizi harakati, uwezi kuongelea Uhuru bila kutaja mchango mkubwa wa kanisa katoliki. Najua utakataa lakini ndiyo ukweli.

Mwanzoni wakati wa vuguvugu ni kweli mchango wa jamii ya kiislam hasa waliokuwa wakifanya kazi bandarini walihusika ktk kuunda vyama vya mwanzo na baadae wengine wakajiunga na TAA ikazaliwa. Mchango wao ulikuwa mkubwa. Baada ya TANU kuzaliwa vuguvugu lilikuwa limeshakuwa kubwa na lilienea sehemu kubwa ya nchi, Najua unaelewa Nyerere alifanya juhudi gani kipindi hiki, hivyo uwezi sema ni mchango wa wazee wako pekee uliohusika. Unanajisi na kupotosha historia.
 
Mohamed Said, hao unaowaita wazee wako pengine walikusimulia na unataka tukuamini wewe tu? Hukuwepo na kama ulikuwepo ulikuwa mdogo. Kwann hutaki kuamini watu wengine?

Haya twende, wakati Nyerere anaenda UNO, pamoja na hiyo michango, nusu ya nauli ilitolewa na white farthers wa kanisa katoliki na familia yake muda mrefu ilifichwa kwanye wamissionary uko Tosamaganga. Hivyo wakati wa hizi harakati, uwezi kuongelea Uhuru bila kutaja mchango mkubwa wa kanisa katoliki. Najua utakataa lakini ndiyo ukweli.

Mwanzoni wakati wa vuguvugu ni kweli mchango wa jamii ya kiislam hasa waliokuwa wakifanya kazi bandarini walihusika ktk kuunda vyama vya mwanzo na baadae wengine wakajiunga na TAA ikazaliwa. Mchango wao ulikuwa mkubwa. Baada ya TANU kuzaliwa vuguvugu lilikuwa limeshakuwa kubwa na lilienea sehemu kubwa ya nchi, Najua unaelewa Nyerere alifanya juhudi gani kipindi hiki, hivyo uwezi sema ni mchango wa wazee wako pekee uliohusika. Unanajisi na kupotosha historia.
Mbussi,
Wala usiwe na wasiwasi na mimi kuhusu historia hizo za TANU kuundwa Misheni ya Tosamaganga.

Huu ni uwanja huru.

Kila mwenye historia yake ya TANU ana haki ya kuiweka hapa.

Wala simlazimishi mtu kuamini kitabu nilichoandika na hata reviews katika Cambridge Journal of African au niliyoandika katika Dictionary of African Biography.
 
Sehemu ambayo haifwati western christian economic system ni masikini wa kutupwa kama chad, mali, maurtania, somalia au afghanistan na pakistan au sijui mynamar , lkn wote walioendelea wanafwata christian western economic system kuanzia China mpaka uae na Saudia wote wanafwata western christian civilization au unafikiri chimbuko la western justice system ni nini? Unapokwenda Mahakamani na kupata haki hiyo ni system ya wapi?
Umetupia tu majina ya nchi bila hata kujuwa maswahibu waliyokutana nayo, wanayokutana nayo hadi leo.

Sitaki kuanzisha mada ndani ya mada ya mleta mada, ntaanzisha uzi nikuite uje tujadili hayo uyasemayo.
 
Mbussi,
Wala usiwe na wasiwasi na mimi kuhusu historia hizo za TANU kuundwa Misheni ya Tosamaganga.

Huu ni uwanja huru.

Kila mwenye historia yake ya TANU ana haki ya kuiweka hapa.

Wala simlazimishi mtu kuamini kitabu nilichoandika na hata reviews katika Cambridge Journal of African au niliyoandika katika Dictionary of African Biography.
Bwana Said, ninaheshimu mawazo yako, lakini ili utufahamishe mchango wa kila mtu ktk harakati za kudai Uhuru, ni bora ukatudadavulia ni nani alifanya nini na wapi. Maana vyama kabla ya TAA na hasa TANU vilikuwa na malengo tofauti. Vilikuwa ni vyama vya kudai maslahi. Sasa unaweza kutuorodheshea majina ya watu waliokuwa wakidai nyongeza za mishahara, tuwatambue kama wapigania Uhuru!!
 
Bwana Said, ninaheshimu mawazo yako, lakini ili utufahamishe mchango wa kila mtu ktk harakati za kudai Uhuru, ni bora ukatudadavulia ni nani alifanya nini na wapi. Maana vyama kabla ya TAA na hasa TANU vilikuwa na malengo tofauti. Vilikuwa ni vyama vya kudai maslahi. Sasa unaweza kutuorodheshea majina ya watu waliokuwa wakidai nyongeza za mishahara, tuwatambue kama wapigania Uhuru!!
Mbussi,
Usitaabike.
Nimesahihisha historia ya TANU katika kitabu cha Abdul Sykes 1998.

"Nyerere Biography" kimeandikwa 2020 na jopo la Prof. Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wanzi Kamata.

Jopo hili lilinihoji mara mbili 2013 kuhusu Mwalimu Nyerere na niliwapa yote waliyotaka katika picha na nyaraka.

Kitabu cha Baba wa Taifa kipo.
Nadhani inatosha.

Turidhike na kazi iliyofanywa na wasomi hawa wakubwa.

1695356346405.png

Kulia: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wazi Kamata​
 
Mbussi,
Usitaabike.
Nimesahihisha historia ya TANU katika kitabu cha Abdul Sykes 1998.

"Nyerere Biography" kimeandikwa 2020 na jopo la Prof. Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wanzi Kamata.

Jopo hili lilinihoji mara mbili 2013 kuhusu Mwalimu Nyerere na niliwapa yote waliyotaka katika picha na nyaraka.

Kitabu cha Baba wa Taifa kipo.
Nadhani inatosha.

Turidhike na kazi iliyofanywa na wasomi hawa wakubwa.

View attachment 2757723
Kulia: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wazi Kamata​
Ongera bwana Said kutembelewa na kuhojiwa na wasomi hawa. issa Shivji (mwanasheria), Dr. Kamata (Political science), huyu Prof. mwingine simufahamu. Pamoja na kupiga nao picha nzuri hakuwezi kubadilisha historia ya mambo ambayo tayari yalishatokea.
 
Ongera bwana Said kutembelewa na kuhojiwa na wasomi hawa. issa Shivji (mwanasheria), Dr. Kamata (Political science), huyu Prof. mwingine simufahamu. Pamoja na kupiga nao picha nzuri hakuwezi kubadilisha historia ya mambo ambayo tayari yalishatokea.
Mbussi,
Historia imebadilika labda wewe hufahamu.

Baada ya kutoka kitabu cha Abdul Sykes 1998 Prof. Haroub Othman ambae ni mwalimu wangu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikisoma na aliathirika sana na yale aliyoyakuta ndani ya kitabu.

Alimkabili Mwalimu na "facts" zilizokuwa ndani ya kitabu ambazo zilikuwa kinyume na historia ya Nyerere na historia ya TANU.

Ni kisa kirefu.

Kwa kifupi akamwambia Mwalimu kuwa kitabu hiki kimebadili historia yake katika uhuru wa Tanganyika.

Ukisikiliza hotuba ya Mwalimu Diamond Jubilee Hall mwaka 1985 anamtaja Abdul Sykes na anasema, "...nadhani Abdul Sykes alikuwa secretary.''

Hii maana yake Nyerere hamjui Abdul Sykes alikuwa na nafasi gani katika TAA na TANU ingawa ndiye aliyemtia yeye katika uongozi wa TAA 1953 na kumkabidhi TANU 1954.

Kadi zao za TANU ni shahidi.

Mara nyingi nimeeleza hapa jamvini kuwa kadi ya Abdul ni no. 3 no. 2 ya mdogo wake Ally na kadi no. 1 ni ya Julius Nyerere TANU Territorial President.

Vipi Nyerere adhani kuwa Abdul Sykes alikuwa Secretary?

Hili lilikuwa jambo la kumshangaza yeyote yule ambae anaijua historia ya uhuru wa Tanganyika.

Baada ya uchaguzi wa 1953 baina ya Abdul Sykes na Julius Nyerere Mwalimu alishinda uchaguzi ule akawa President wa TAA na Abdul Sykes Vice President.

Katika mazungumzo ya Prof. Haroub Othman na Mwalimu wakakubaliana kuwa ni lazima Mwalimu na yeye aeleze historia yake.

Mpaka hapa naamini umetambua umuhimu wa Nyaraka za Sykes katika historia ya Tanganyika.
 
Mbussi,
Historia imebadilika labda wewe hufahamu.

Baada ya kutoka kitabu cha Abdul Sykes 1998 Prof. Haroub Othman ambae ni mwalimu wangu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikisoma na aliathirika sana na yale aliyoyakuta ndani ya kitabu.

Alimkabili Mwalimu na "facts" zilizokuwa ndani ya kitabu ambazo zilikuwa kinyume na historia ya Nyerere na historia ya TANU.

Ni kisa kirefu.

Kwa kifupi akamwambia Mwalimu kuwa kitabu hiki kimebadili historia yake katika uhuru wa Tanganyika.

Ukisikiliza hotuba ya Mwalimu Diamond Jubilee Hall mwaka 1985 anamtaja Abdul Sykes na anasema, "...nadhani Abdul Sykes alikuwa secretary.''

Hii maana yake Nyerere hamjui Abdul Sykes alikuwa na nafasi gani katika TAA na TANU ingawa ndiye aliyemtia yeye katika uongozi wa TAA 1953 na kumkabidhi TANU 1954.

Kadi zao za TANU ni shahidi.

Mara nyingi nimeeleza hapa jamvini kuwa kadi ya Abdul ni no. 3 no. 2 ya mdogo wake Ally na kadi no. 1 ni ya Julius Nyerere TANU Territorial President.

Vipi Nyerere adhani kuwa Abdul Sykes alikuwa Secretary?

Hili lilikuwa jambo la kumshangaza yeyote yule ambae anaijua historia ya uhuru wa Tanganyika.

Baada ya uchaguzi wa 1953 baina ya Abdul Sykes na Julius Nyerere Mwalimu alishinda uchaguzi ule akawa President wa TAA na Abdul Sykes Vice President.

Katika mazungumzo ya Prof. Haroub Othman na Mwalimu wakakubaliana kuwa ni lazima Mwalimu na yeye aeleze historia yake.

Mpaka hapa naamini umetambua umuhimu wa Nyaraka za Sykes katika historia ya Tanganyika.
Asnte kwa ufafanuzi bwana Said, mimi sijawahi kupingana na wewe kwamba familia ya Sykes ilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa waanzilishi wa TAA na baadae TANU. Ata kabla ya kitabu chako historia ilikuwa ikiwatambua watu hawa wakiwemo akina Rupia, Ramiah na wengineo. Kinachogomba ni madai yako kwamba Waislam walisaulika baada ya Uhuru. Hii si kweli.

Chama cha siasa uanzishwa kwa lengo la kuchukuwa dola. Ktk harakati kuna wanachama ata wale waanzilishi uishia njiani na wengine wapya ujiunga. Chama cha siasa siyo kama saccos kwamba mwisho wa siku kuna faida ugawanwa. Kama nilivyokuambia, vyama hivi kabla ya kuzaliwa TAA na hasa TANU waanzilishi walikuwa na malengo tofauti, ambayo hayakuwa kudai Uhuru. Baada ya kubadilisha malengo na kuwa chama cha harakati ya kudai Uhuru kuna waanzilishi waliishia njiani. Sababu ni nyingi, lakini moja ni kwamba hawakuwa na Imani kwamba Uhuru unaweza kupatikana kwa njia hiyo na wengine waliogopa kifinyo na kupoteza ajira. Unapokuja na orodha ndefu ya majina ya kiislam kwamba walisahaulika ktk historia nakuwa sikuelewi.

Michango na majukumu ktk kudai Uhuru wa Tanganyika, ni jamii nzima ya Watanganyika ilihusika na siyo Waislam peke yao. Si raisi kuandika mchango wa kila mtu ktk kila kitabu. Ni vizuri wewe umeweza kuandika michango ya watu unaowajua lakini naamini hukuweza kuandika mchango wa kila Muislam kwasababu si wote unawjua pamoja na michango yao.

Siku nyingine ili msiwe wabaguzi, mtambuweni John Okelo kwenye mapinduzi ya Zanzibar, mbona alifukuzwa baada ya mission?
 
Asnte kwa ufafanuzi bwana Said, mimi sijawahi kupingana na wewe kwamba familia ya Sykes ilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa waanzilishi wa TAA na baadae TANU. Ata kabla ya kitabu chako historia ilikuwa ikiwatambua watu hawa wakiwemo akina Rupia, Ramiah na wengineo. Kinachogomba ni madai yako kwamba Waislam walisaulika baada ya Uhuru. Hii si kweli.

Chama cha siasa uanzishwa kwa lengo la kuchukuwa dola. Ktk harakati kuna wanachama ata wale waanzilishi uishia njiani na wengine wapya ujiunga. Chama cha siasa siyo kama saccos kwamba mwisho wa siku kuna faida ugawanwa. Kama nilivyokuambia, vyama hivi kabla ya kuzaliwa TAA na hasa TANU waanzilishi walikuwa na malengo tofauti, ambayo hayakuwa kudai Uhuru. Baada ya kubadilisha malengo na kuwa chama cha harakati ya kudai Uhuru kuna waanzilishi waliishia njiani. Sababu ni nyingi, lakini moja ni kwamba hawakuwa na Imani kwamba Uhuru unaweza kupatikana kwa njia hiyo na wengine waliogopa kifinyo na kupoteza ajira. Unapokuja na orodha ndefu ya majina ya kiislam kwamba walisahaulika ktk historia nakuwa sikuelewi.

Michango na majukumu ktk kudai Uhuru wa Tanganyika, ni jamii nzima ya Watanganyika ilihusika na siyo Waislam peke yao. Si raisi kuandika mchango wa kila mtu ktk kila kitabu. Ni vizuri wewe umeweza kuandika michango ya watu unaowajua lakini naamini hukuweza kuandika mchango wa kila Muislam kwasababu si wote unawjua pamoja na michango yao.

Siku nyingine ili msiwe wabaguzi, mtambuweni John Okelo kwenye mapinduzi ya Zanzibar, mbona alifukuzwa baada ya mission?
Mbussi,
Hakuna tatizo.
 
Mzee Said bila kuutaja ukoo wa kina Sykes hasikii raha wala amani mwenyewe ana mahaba mazito na huo ukoo nikipata rafiki wa hivi sio hawa wa sasa.
 
Mzee Said bila kuutaja ukoo wa kina Sykes hasikii raha wala amani mwenyewe ana mahaba mazito na huo ukoo nikipata rafiki wa hivi sio hawa wa sasa.
Njumu...
Si mimi niliyeona umuhimu wa Sykes katika historia ya Tanganyika.

Tuanze na John Iliffe 1968 yeye ndiye aliyesababisha maisha ya Kleist Sykes yawe documented na kuwekwa kama seminar paper Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam East Africana.

Mwaka huo huo akaandika paper kuhusu African Association akitumia nyaraka za Sykes.
Mwaka wa 1970 John Iliffe akaandika historia ya Dar es Salaam Dockworkers Union na kumtaja Abdul Sykes.

Kisa Cha kusisimua sana
John Iliffe 1973 akatoa kitabu, "Modern Tanzanians," ndani Kuna sura nzima kuhusu maisha ya Kleist Sykes.

1924 Kleist Sykes anakutana na Dr. Kwegyr Aggrey.
Ukiwa humjui Dr. Aggrey ingia Google.

1950 Abdul Sykes anakutana na Jomo Kenyatta Nairobi.
1950 Abdul Sykes anakutana na Earle Seaton.

Ikiwa humjui ingia Google
1963 Abdul Sykes anakutana na Lady Judith Listowel.

Ikiwa umfahamu ingia Google.
1952 Abdul Sykes anakutana na Julius Nyerere.

Hapa kuna historia ndefu sana.
Ipo katika kitabu cha Abdul Sykes.

1953 Ally Sykes anaandikiana na Kenneth David Kaunda. wa Northern Rhodesia.

2008 Prof. Emmanuel Akyeampong wa Harvard anamuomba Mwandishi aandike maisha ya Kleist Sykes kwa ajili ya Dictionary of African Biography.

Siwezi kuandika yote.

Si mimi peke yangu mwenye mapenzi na historia ya Sykes.
 
Back
Top Bottom