Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
Nimerudia kusoma zaidi ya mara mbili, sijaona sehemu yoyote ile mtoa mada alipojitambulisha kama yeye ni mwalimu. Hivyo unatakiwa kuacha umbea."Walimu mna matatizo"
Nahisi kwa sababu Rais hakuwepo NchiniKwann kuchelewesha hivo jaman
Najua sio salary, but we are experience the same situation,, stationaries, meals and accomodation sio salary.
Usijaribu Bora ubaki huko huko kitaaSijawahi kulipwa mshahara hata siku moja ngoja nitafute ajira nione kusubiria mshahara inakuaje.
Okei man we are tugeza.Najua sio salary, but we are experience the same situation,
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Usijaribu Bora ubaki huko huko kitaa
Statesman alishakuwa Mtumishi katika chuo cha ualimu Morogoro (Kigurunyembe). Kwa sasa ni mtumishi mtiifu wa Ofisi za Lumumba ktk chama cha mboga mboga; malipo ya buku 7 yatategemeana na idadi ya comments mbovu dhidi ya Chadema.Okei man we are tugeza.
La mfugale limeonekana MbwepandeVipi Madaraja? ...watu wameyaona au?
Hadi tarehe 50 na hakuna cha madaraja wala nini, muwe wapoleBado.
Wamesema hadi Jumatano wiki ijay
Duuh, sijawahi fundisha kigurunyembe,Statesman alishakuwa Mtumishi katika chuo cha ualimu Morogoro (Kigurunyembe). Kwa sasa ni mtumishi mtiifu wa Ofisi za Lumumba ktk chama cha mboga mboga; malipo ya buku 7 yatategemeana na idadi ya comments mbovu dhidi ya Chadema.
Tafuta buku nikupe odds 30001.5,betpawa
Kazi ipoHadi tarehe 50 na hakuna cha madaraja wala nini, muwe wapole
Hivi hiyo posho haijaingezwa kweli?Posho za lumumba buku 7 ni mshahara pia
TayariNMB bado aisee.
Tayari
Tayari