Tegemea next monthI am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tegemea next monthI am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
Wapo waliotoa kafara na bado hayaendi.Maisha ni fumboNimekaribia kuamini kuwa maisha bila kafara hayaendi.
Kwasababu inakufanya ujisikie kwamba hauko peke yako au wewe una nafuu kwenye hustles za maisha.Si ndio?Hizi nyuzi nazipenda kweli aisee
Mkuu mimi nyuzi yoyote inayofurahisha naipenda sana.Kwasababu inakufanya ujisikie kwamba hauko peke yako au wewe una nafuu kwenye hustles za maisha.Si ndio?
Kisaikolojia uko sahihi kabisa.
Mbona nmb tayari toka saa tano asubuhi
Serious?CRDB ndo imeingia saivi.
Utakuwa TPDF siyo bure, kada zingine, msg settings ni vibration na highest volume kila msg inaangaliwa 😂Mbona nmb tayari toka saa tano asubuhi
Kweli?CRDB ndo imeingia saivi.
Nmb veepe Bado?Kweli?
Da noma Sana aiseeBoT clearance .................jioni au kesho asubuhi shimo linatema seriously
18:12 bila bilaNmb veepe Bado?
Zipo ila no chill in Africa , sometime unapata msg mda mwingine mzigo upo no notificationHivi hamnaga huduma ya SMS notification hela ikiingia kwenye account zenu?..