Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndio shetani ndugu,tubu tafuta mke uoe IPO sababu ni Kwa Nini bado tamaa za kimwili zimekuandama Kuna vitabu ntakutumia usome utaelewa na Mungu akusaidieSafari ya mbinguni Ni ngumu sana. Nilikuwa na genye la kufa mtu, Hadi nikasahau kwamba nimeokoka. Nikampanga mrembo mmoja nikaingia naye ghetto baada ya mechi ile ltunafungua mlango nimsindikize, ghafla uso kwa uso na Mchungaji wangu, akaanza kunichana; " kijana ijumaa kuu hii unasubutu Kufanya uchafu kweli Restless? Nilikua nakuamini nakupa nafasi ya kuhudumu madhabahuni kumbe na wewe Ni mshenzi tu? Nipe flash ya Kanisa niondoke".
Baada ya kumpa flash na kuondoka, nilienda bafuni kunawa uso ili Kama Ni ndoto ikate lakini haikuwa Ndoto!
Kwa kweli sijalala, nimewaza Hadi sasaiv. Heshima niliyojipatia kwa muda mrefu imepotea kifala kwa dakika 2 tu 😩
[emoji23][emoji23]Kwani huyu mchungaji yeye hat.mbi?
Nitumie tafadhaliHuyo ndio shetani ndugu,tubu tafuta mke uoe IPO sababu ni Kwa Nini bado tamaa za kimwili zimekuandama Kuna vitabu ntakutumia usome utaelewa na Mungu akusaidie
Ni yenyeweKwa hiyo ni yale makanisa ya kutenga waumini au ni tofauti?
Ni yenyewe
Hata Mimi niifikiria hvyo...Kulingana na kichwa cha habari nilifikiri mchungaji alikua anakubandua halafu mkafumwa unababduliwa 😔