Nimefungua voice note ya boss wangu mbele ya mke wangu

Nimefungua voice note ya boss wangu mbele ya mke wangu

Bodhichitta

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
315
Reaction score
762
Waungwana hamjambo?

Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika.

Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii

Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee.

Mke wangu akaniuliza nini, ikabidi nizuge tu.

Dah! Hata hamu yakula imekata

Wanaume tutafute pesa hii hatariiiii
 
Waungwana hamjambo?

Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika.

Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii

Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomoooo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee.

Mke wangu akaniuliza nin, ikabidi nizuge tu.

Dah! Hata hamu yakula imekata

Wanaume tutafute pesa hii hatariiiii
Sijui kwa nini sijaelewa!

Umekula mgomo?

Tutafute pesa?

Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
 
Waungwana hamjambo?

Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika.

Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii

Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomoooo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee.

Mke wangu akaniuliza nin, ikabidi nizuge tu.

Dah! Hata hamu yakula imekata

Wanaume tutafute pesa hii hatariiiii

*Mke sio make typing error mod wanaweza rekebisha labda
 
Back
Top Bottom