Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Chizi kapora simu ya dokta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto raha sanaWaungwana hamjambo?
Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika.
Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii
Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee.
Mke wangu akaniuliza nini, ikabidi nizuge tu.
Dah! Hata hamu yakula imekata
Wanaume tutafute pesa hii hatariiiii
Hata mimi sijaelewa. Najaribu ku connect anamanisha nini nashindwa kabisa kabisa🤣Sijui kwa nini sijaelewa!
Umekula mgomo?
Tutafute pesa?
Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
Umeshagongewa na huyo boss. Kama mnawatoto faster kapime DNA.Waungwana hamjambo?
Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika.
Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii
Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee.
Mke wangu akaniuliza nini, ikabidi nizuge tu.
Dah! Hata hamu yakula imekata
Wanaume tutafute pesa hii hatariiiii
Una D mbili kiongoz huwez kuelewa kituYule Jamaa hakusema UONGO nimetoka na Sifuri kwenye SoMo la kuelewa kilichoandikwa
Wew ndo umezid kiongozWatanzania wengi ni vichaa ila wanazidiana
Umeandika ukiwa Wodi Namba ngapi hapo Milembe nimcheck Balozi wenu anipe uelekeo, alafu rudisha hio simu ya NesiUna D mbili kiongoz huwez kuelewa kitu
Sawa, ila Anza kumshauri huyo unaemwita baba Ako na mwambie mama Ako akuonyeshe baba Ako wa kweli maana hiyo michezo nahisi alianza mam akoUmeshagongewa na huyo boss. Kama mnawatoto faster kapime DNA.
Nyau
Acha makasiriko. Unagongewa na kulea watoto siyo wako halafu unajiona mmmjaaaanjaaa.Sawa, ila Anza kumshauri huyo unaemwita baba Ako na mwambie mama Ako akuonyeshe baba Ako wa kweli maana hiyo michezo nahisi alianza mam ako
Afya ya akiliSijui kwa nini sijaelewa!
Umekula mgomo?
Tutafute pesa?
Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
Ameandika ushubwadaShida kabisa,umeandika nini sasa?,watanzania wengi hawajui kujieleza wala kujitetea,nawewe ni miongoni mwao
Ila we mzee umenichekesha sana 😂
Kwahiyo bila miwani uoni ?
Shikamoo babu.
Ila wametoa sababu, kwamba kuna watu wanasabisha distraction barabarani, foreni kisa kupiga picha katika iyo spot ambayo mlima unaonekana vizuri.
Kama unataka kufanya utalii lipia, mbona cheap $14 tu.
Sijui kwa nini sijaelewa!
Umekula mgomo?
Tutafute pesa?
Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
Shida kabisa,umeandika nini sasa?,watanzania wengi hawajui kujieleza wala kujitetea,nawewe ni miongoni mwao
Haieleweki, kuw smart basi uongee kitu kinacho eleweka
Umeelewa?
Kama umemuelewa huyu jamaa unashida kichwani
Mkuu ndo umeandika nini?
Nina uhakika huyo boss wako akiliona hili bandiko lako, sio kukulisha mgomo tu, hadi kazi atakufukuza.
Sijaelewa chochote zaidi ya jikoni
Chizi kapora simu ya dokta
Hiyo ofisi ina hasara kuwa na mtu kama wewe
Utoto raha sana
Huenda huyu ndo alieteuliwa akafa siku ya Leo kafufuka
Kwa mwendo huu ndio maana marhm analamba teuzi wakati sisi tupo.....
Nimetoka kapa!
🏃🏃🏃🏃
Hata mimi sijaelewa. Najaribu ku connect anamanisha nini nashindwa kabisa kabisa🤣
Watanzania wengi ni vichaa
Acha makasiriko.
Afya ya akili
Yaani kazini wamekupa mgomo ama vipi