heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Ili tukuelewe weka voice note hapa weka picha yako weka ya mkeo na boss wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wake mimi na wewe tupo group moja so tunajuana🤣🤣Wew ndo umezid kiongoz
Ameachishwa kazi.Sijui kwa nini sijaelewa!
Umekula mgomo?
Tutafute pesa?
Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
We mpuuz saana,Au boss alimuomba chochote kitu mana dunia imevaa nepi sasa hivi
Naunga mkono hojaKama umemuelewa huyu jamaa unashida kichwani
Anamaanisha KAFOKEWA 🤣🤣🤣Sijaelewa chochote zaidi ya jikoni
Ushafungua codes we ni hatari, nmepata kuelewa sasa😅Anamaanisha KAFOKEWA 🤣🤣🤣
Yaan we una uwezo mkubwa saana una thinking capacity kubwa..Anamaanisha KAFOKEWA 🤣🤣🤣
Hujui maana ya mgomo??Sio kila mtu anaelewa misamiati mipya ya ofisini kwako. Mgomo haendani na story yako
We ndo unashida, vichaa wote huwaona wengine Wana shida isipokuwa wao.Kama umemuelewa huyu jamaa unashida kichwani
Wewe ndo inabidi uwe smart kuelewa.Haieleweki, kuw smart basi uongee kitu kinacho eleweka
Ata mm sijamuelewa,nilijua boss ni ke then anatembea naye afu wife kasikia voice ya mahaba😂😂Sijui kwa nini sijaelewa!
Umekula mgomo?
Tutafute pesa?
Hiyo voice note ya bosi ilikuwa inahusu nini? Wengine ishu za fasihi na kufungua codes kunatupiga chenga. Kama umeamua kusema kitu sema ueleweke!
Ni kizungumkuti mkuu 😁Ata mm sijamuelewa,nilijua boss ni ke then anatembea naye afu wife kasikia voice ya mahaba😂😂
Hujui maana ya mgomo??
Tafuta kamusi ya kiswahili andika neno mgomo uone watakuletea nin!?
Mbona watu ni wa ajabu saana, eti misimiati mipya hujuwahi kusikia neno mgomo????
Wengi hamna concentration kwenye vitu vyenu sio hapa tu hata kwenye mambo mengine
Wewe unastress sana aseeWe ndo unashida, vichaa wote huwaona wengine Wana shida isipokuwa wao.