Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa zinawasumbua 😂Yaan we una uwezo mkubwa saana una thinking capacity kubwa..
hao wengine hawajui hata kuunganisha dot.
ni mtu wa aina gani unataka udadavuliwe Kila kitu yaaan mi niandike pages 50 hapa kuelezea kitu kidogo kama hiki
Ndo ilivyo kiongozi,Kagombezwa au kewa na boss wake kwenye voice note.
Kaifungua mbele ya mkewe akasikia anavyo gombezwa kama mtoto.
Minaona sisiem ndio imesababisha....🤣🤣🤣🤣