Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jun 9, 2024 #61 Pole sana mkuu
run CMD JF-Expert Member Joined May 31, 2015 Posts 3,185 Reaction score 3,909 Jun 9, 2024 #62 Bosi yupo sahihi
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jun 9, 2024 #63 Wakulenga said: Yaan we una uwezo mkubwa saana una thinking capacity kubwa.. hao wengine hawajui hata kuunganisha dot. ni mtu wa aina gani unataka udadavuliwe Kila kitu yaaan mi niandike pages 50 hapa kuelezea kitu kidogo kama hiki Click to expand... Njaa zinawasumbua 😂 Mimi mbea mfungua code, vitu km hivyo huwa naflow navyo
Wakulenga said: Yaan we una uwezo mkubwa saana una thinking capacity kubwa.. hao wengine hawajui hata kuunganisha dot. ni mtu wa aina gani unataka udadavuliwe Kila kitu yaaan mi niandike pages 50 hapa kuelezea kitu kidogo kama hiki Click to expand... Njaa zinawasumbua 😂 Mimi mbea mfungua code, vitu km hivyo huwa naflow navyo
Bodhichitta JF-Expert Member Joined Jul 1, 2015 Posts 315 Reaction score 762 Jun 9, 2024 Thread starter #64 Titicomb said: Kagombezwa au kewa na boss wake kwenye voice note. Kaifungua mbele ya mkewe akasikia anavyo gombezwa kama mtoto. Click to expand... Ndo ilivyo kiongozi, Wew ni miongon mwa watu wenye uwezo mkubwa na unafaa kufanya kaz mahala. Maana kule sharti zake uwe fasta kwenye kudadavua yaan uambiwe neno Moja then kichwan utengeneze sentensi kumi na unazifanyia kazi. Hao wengine maboga tu alafu wanasema sijui kijieleza yaan wanataka tuelezane kama primary washamba saaan
Titicomb said: Kagombezwa au kewa na boss wake kwenye voice note. Kaifungua mbele ya mkewe akasikia anavyo gombezwa kama mtoto. Click to expand... Ndo ilivyo kiongozi, Wew ni miongon mwa watu wenye uwezo mkubwa na unafaa kufanya kaz mahala. Maana kule sharti zake uwe fasta kwenye kudadavua yaan uambiwe neno Moja then kichwan utengeneze sentensi kumi na unazifanyia kazi. Hao wengine maboga tu alafu wanasema sijui kijieleza yaan wanataka tuelezane kama primary washamba saaan
Bufa JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 12,599 Reaction score 26,263 Jun 9, 2024 #65 Ushimen said: Minaona sisiem ndio imesababisha....🤣🤣🤣🤣 Click to expand... Katiba.