Nimefurahi sana Ali Kamwe na Ahmed Allli kutaka kushitakiwa,waligeuza soccer kuwa mchezo wa kijinga,vyeo vyao vifutwe

Nimefurahi sana Ali Kamwe na Ahmed Allli kutaka kushitakiwa,waligeuza soccer kuwa mchezo wa kijinga,vyeo vyao vifutwe

Huu ujinga aliuanza Haji Manara,badala ya Simba na yanga kuwa watani wa jadi wakawa na chuki ya jadi.

Hawa watoto nao badala ya kuja kivingine wakawa wanapita mule mule alipopita Haji.

Sasa nasikia Alli kamwe Azam nao wanataka bilioni 10 kwa kauli yake kuwa Dube kila akikaribia goli wanazima taa,hii ni kuchafua brand ya uwanja.

Kwa upande wangu vyeo vyao vifutwe au majukumu(responsibilities) yao yabadilishwe

Mbona huko kwa wenzetu


makocha ndio wasemaji.
Waache ujinga
Haya mashitaka ya kijinga jinga ningekuwa hakimu mtu anayeyaleta alistahili kulipa gharama kubwa sana za usumbufu sio kukurupuka tu na utoto na ujinga
 
Bodi ya Ligi iliweka kanuni ya kuwabana Wasemaji watakaongea mambo nje ya mpira. Siku hiyo kanuni inatangazwa CEO wa bodi ya Ligi alotukanwa na kupopolewa Sana. Nashangaa Leo tumerudi kushtakiana.
 
Back
Top Bottom