Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mbona Ntobi hamkusubiri uchaguzi uahirishwe?Uchaguzi uahirishwe ili watovu wa nidhamu wote waadhibiwe
View attachment 3196771
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Ntobi hamkusubiri uchaguzi uahirishwe?Uchaguzi uahirishwe ili watovu wa nidhamu wote waadhibiwe
View attachment 3196771
Mimi siyo msemaji wa Chadema, waliomshughulikia Ntobi wanaelewa andiko langu
Tena amejishushia heshima aliyojijengea kwa 20+years kumbe under pressure huyu anachanganyikiwa sana hakufaa hata uraisi wa jamhuri.Mbowe anaanza kulia lia mala nilimlipia nauli, mala nilimpa gari,
Hizi ni sera au ni upumbavu?
Mzee haamini anataka atawale milele aibu sana.Mbowe anaanza kulia lia mala nilimlipia nauli, mala nilimpa gari,
Hizi ni sera au ni upumbavu?
Uko sahihi sanaLakini hapa maoni yako ulivyotoa pia sio msemaji wao
Tunamchinja Lissu mwenyeweTatizo timu ya Lissu sio wanachama wa Chadema.
Utampa adhabu Sativa? Au Maria Sarungi?
Sisi kama Wanachadema tunaendelea kuangalia watakalofanya Wajumbe. Maamuzi yoyote ambayo yataonesha kuwa Chama kimeanua maamuzi kiuonevu, Kwa kuingiliwa na CCM kama ambavyo baadhi ya Viongozi tunafahamu wanaendeshwa Kwa rimoti na CCM ama Kamati Kuu kukosa uimara katika usimamizi wa Chama kitatufanya tukiache Chama Hiki. Uchaguzi huu ni kipimo Cha CHADEMA ni Chama Cha Watanzania ama kakikundi ka watu wachache waliohongwaNilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.
Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .
Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.
Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.
Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?
Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.
Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.
Mungu Ibariki Chadema.
Atavuliwa hata boksaNtobo kavuliwa Uenyekiti Sasa Yeriko utamvua nini? 😂😂
Hata wewe Erythrocyte inabidi ufukuzwe kwa sababu hapo awali ulijipambanua wazi wazi kuwa ni timu Mbowe😁😁Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.
Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .
Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.
Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.
Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?
Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.
Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.
Mungu Ibariki Chadema.
au Dr. Slaa? Au Msigwa?Tatizo timu ya Lissu sio wanachama wa Chadema.
Utampa adhabu Sativa? Au Maria Sarungi?
Akina Ntobi na Yericko Nyerere.Sisi kama Wanachadema tunaendelea kuangalia watakalofanya Wajumbe. Maamuzi yoyote ambayo yataonesha kuwa Chama kimeanua maamuzi kiuonevu, Kwa kuingiliwa na CCM kama ambavyo baadhi ya Viongozi tunafahamu wanaendeshwa Kwa rimoti na CCM ama Kamati Kuu kukosa uimara katika usimamizi wa Chama kitatufanya tukiache Chama Hiki. Uchaguzi huu ni kipimo Cha CHADEMA ni Chama Cha Watanzania ama kakikundi ka watu wachache waliohongwa
Mbona wanatukana kila mahali, au huna macho?ungekua mkweli ungewataja na msema kweli ni mpenzi wa MUNGU wataje tuwajue bila kuwataja niuongo
Hakika.ungekua mkweli ungewataja na msema kweli ni mpenzi wa MUNGU wataje tuwajue bila kuwataja niuongo
Utakuwa uamuzi wa kishujaa.Tunamchinja Lissu mwenyewe
Kwani hayo nayo ni matusi?Hata wewe Erythrocyte inabidi ufukuzwe kwa sababu hapo awali ulijipambanua wazi wazi kuwa ni timu Mbowe😁😁
hawa wenda wamelewa pesa mbuziNjmegundua hata mtoa hoja na wewe ni mnafiki tu yaani kidagaa Ntobi kimefutwa uongozi halafu TAL mnakuja kumfukuza uananchama. Kweli siasa za Kiafrika ni kuthamini matumbo yenu tu.
TAL anaundiwa ZENGWE aisee siasa za Kiafrika ni kichefuchefu sana. 😏😏😏