Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.

Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .

Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.

Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.

Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?

Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.

Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.

Mungu Ibariki Chadema.
Sisi kama Wanachadema tunaendelea kuangalia watakalofanya Wajumbe. Maamuzi yoyote ambayo yataonesha kuwa Chama kimeanua maamuzi kiuonevu, Kwa kuingiliwa na CCM kama ambavyo baadhi ya Viongozi tunafahamu wanaendeshwa Kwa rimoti na CCM ama Kamati Kuu kukosa uimara katika usimamizi wa Chama kitatufanya tukiache Chama Hiki. Uchaguzi huu ni kipimo Cha CHADEMA ni Chama Cha Watanzania ama kakikundi ka watu wachache waliohongwa
 
YERICKO

1000145860.jpg
 
Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.

Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .

Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.

Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.

Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?

Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.

Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.

Mungu Ibariki Chadema.
Hata wewe Erythrocyte inabidi ufukuzwe kwa sababu hapo awali ulijipambanua wazi wazi kuwa ni timu Mbowe😁😁
 
Njmegundua hata mtoa hoja na wewe ni mnafiki tu yaani kidagaa Ntobi kimefutwa uongozi halafu TAL mnakuja kumfukuza uananchama. Kweli siasa za Kiafrika ni kuthamini matumbo yenu tu.

TAL anaundiwa ZENGWE aisee siasa za Kiafrika ni kichefuchefu sana. 😏😏😏
 
Sisi kama Wanachadema tunaendelea kuangalia watakalofanya Wajumbe. Maamuzi yoyote ambayo yataonesha kuwa Chama kimeanua maamuzi kiuonevu, Kwa kuingiliwa na CCM kama ambavyo baadhi ya Viongozi tunafahamu wanaendeshwa Kwa rimoti na CCM ama Kamati Kuu kukosa uimara katika usimamizi wa Chama kitatufanya tukiache Chama Hiki. Uchaguzi huu ni kipimo Cha CHADEMA ni Chama Cha Watanzania ama kakikundi ka watu wachache waliohongwa
Akina Ntobi na Yericko Nyerere.
 
Njmegundua hata mtoa hoja na wewe ni mnafiki tu yaani kidagaa Ntobi kimefutwa uongozi halafu TAL mnakuja kumfukuza uananchama. Kweli siasa za Kiafrika ni kuthamini matumbo yenu tu.

TAL anaundiwa ZENGWE aisee siasa za Kiafrika ni kichefuchefu sana. 😏😏😏
hawa wenda wamelewa pesa mbuzi
 
Back
Top Bottom