Nimefurahishwa na uteuzi wa Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi kwa sababu moja kubwa

Nimefurahishwa na uteuzi wa Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi kwa sababu moja kubwa

Doctor Mama Amon

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,089
Reaction score
2,725
Napongeza uteuzi wa Dk. Bashiru kuwa Katibu Mkuu kiongozi kwa sababu moja.

Nilipokuwa mhadhiri wa business administration mahali nilifundisha sana juu ya teamwork.

Kuna nadharia nyingi. Lkn pointi kuu ni kwamba kama unataka timu nzuri ya mpira unahitaji watu 11 wenye vipaji tofauti na vinavyokamilishana.

Hapo awali Nimekuwa naona kuwa THE BIG FOUR (RAIS, MAKAMU RAIS, PM na KATIBU MKUU KIONGOZI) haikuwa timu bora pale Ikulu. Wote nina CV zao.

Almost, tulikuwa na IKULU inaongozwa na wahandisi watupu. Sasa ameingia political scientist.

Matarajio yangu ni kwamba ataifanya timu hii ya the BIG FOUR kuimarika zaidi.

Napongeza kwa sababu hiyo pekee. Mengine naendelea kuyatafiti.

Namkaribisha Dk Bashiru Sumbawanga nimfundishe kuendesha helikopta ya ungo katikati ya kimbunga.
 
Tatizo huyo political scientist wako ame prove mara nyingi elimu yake ya chuoni aliiacha kwenye vitabu library, pale lumumba alikuwa anafanya kazi kama political amateur.

Na hao wahandisi unaowasifia wote wamewekeza kwenye nyungu, mambo ni mengi muda mchache.
 
Tatizo huyo political scientist wako ame prove mara nyingi elimu yake ya chuoni aliiacha kwenye vitabu library, pale lumumba alikuwa anafanya kazi kama political amateur.

Na hao wahandisi unaowasifia wote wamewekeza kwenye nyungu, mambo ni mengi muda mchache.

You are advised to qualify your claim. Mie naona kuna ma-nadharia fulani ameyaleta field mwaka jana yakatusumbua sana. Nadhani ma-theory hayo ndo yamempiga tafu hadi uteuzi huu. Naendelea na utafiti.
 
Mama Amon nakushauri ubakie kwenye field yako ya business administration tu, kwenye siasa hapakufai.

Dk. Ally Bashiru alivyokua UDSM alikuwa anaitendea haki PhD yake ya Political Science, ila baada ya kuteuliwa tu akawa kigugumizi. Sasa ameteuliwa hio nafasi ndio atakuwa zero kabisaaaa. Ref: Prof Polepole nae.

Kwa kuku-refresh memory yako, Dr. Bashiru aliwahi kutamka "HATOKUBALI UTEUZI WOWOTE IKITOKEA AMETEULIWA". Video zipo kama kumbukumbu. Ila kesho anameza matapishi yake.

In short; Hio team unayoisema hata kama ina wachezaji wenye vipaji tofauti tofauti kama Messi na Ronaldo, kama hakuna sheria za kufuatwa uwanjani, basi wachezaji wote wataishia kuwa "INJURED/MAJERUHI".

Kwa lugha nyepesi, hata ateuliwe nani katika nafasi yoyote kwenye serikali hii, as far as sheria hazifuatwi na hakuna katiba mpya yenye kuwalinda wasitoke nje ya madaraka yao = Kazi bure, wote wataonekana vituko na hawana maana.
 
You are advised to qualify your claim. Mie naona kuna ma-nadharia fulani ameyaleta field mwaka jana yakatusumbua sana. Nadhani ma-theory hayo ndo yamempiga tafu hadi uteuzi huu. Naendelea na utafiti.
Hivi kununua wapinzani pia ni sayansi ya politiki? mie naona ni ushirikina huo, kuchezea pesa za masikini bure tu.
 
Katika timu ile nani asiye kada?
Kiongozi mkuu wa utumishi wa umma kuwa kada wa chama cha siasa si sawa.

Wale wengine sina tatizo nao kwa sababu wanapatikana kwa sanduku la kura na kwa mujibu wa katiba ni wanasiasa lakini katibu kiongozi???

Hell no.
 
Hivi kununua wapinzani pia ni sayansi ya politiki? mie naona ni ushirikina huo, kuchezea pesa za masikini bure tu.
Leta copy ya invoice ya biashara hiyo, vinginevyo kwea pipa ukajiunge na Antipasu twajua huyo ndiye mentor wenu wa masuala ya uongo!
 
In real sense siasa za Tanzania hazihitaji utaalamu wowote wa elimu, elimu ni wastage in Tanzanian politics, kinacho hitajika ni kua mnafiki muongo na kusifia kiongozi wajuu basi umesha win siasa za ccm.

Nani ambaye anaweza kunionyesha impact chanya ya PhD ya bashiru, kwenye arena ya siasa za ccm katika mwaka hi mitano, ni kipindi hiki cha bashiru ccm ndo ikafeli kabisa kuliko siku zote, mbinu za kudhurumu wtznia zimefanywa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom