Nimefuta na kublock namba 50 kwenye simu yangu za wanaojiita marafiki zangu

Nimefuta na kublock namba 50 kwenye simu yangu za wanaojiita marafiki zangu

Haya maisha bwana unaweza kudhani mtu amekunyima kumbe hata yeye hana labda unaejua mishe zake hawezi kukosa cash
Na hii ya kudhani jamaa hawezi kosa cash ni kosaa piaa kubwaa sanaa maana hujui majukumu yake...!! Labda ana mikopoo ya kutosha na madeni kibao..
 
Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.

Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.

So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.

Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.

Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!

Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Ulikuwa huwajui wazee wa mma? Hupenda wenzao wakati wa kilaji tu na sivingine.
 
Una marafiki 50?
Au huwa unajichekesha kwa watu na wakitoa positive response unaanza kuwaita marafiki. Nina watu ninaofahamiana nao wengi na naongea na wengi ila sina marafiki zaidi ya 10. Na siombiombi hela kwa marafiki, sio donors hao. Huwezi pima urafiki kwa kuomba hela tena ukitarajia upewe instantly
Aidha hujaelewa point yake au upeo wako na walio kupa LIKES upo chini sana. Ila ninachokiona you have low thinking capacity. Yeye alikuwa hana shida ila alijaribu kuwapima washikaji wa karibu kuona nani ata respond hata Kwa kuguswa tu na msala wake, kama contacts za smartphone yako Zina watu 400++ utakosa watu 50 wa kuwaomba msaada!?.., wewe ni mpuuzi na mpumbavu, samahani mkuu Kwa kukwambia ukweli...
 
Aidha hujaelewa point yake au upeo wako na walio kupa LIKES upo chini sana. Ila ninachokiona you have low thinking capacity. Yeye alikuwa hana shida ila alijaribu kuwapima washikaji wa karibu kuona nani ata respond hata Kwa kuguswa tu na msala wake, kama contacts za smartphone yako Zina watu 400++ utakosa watu 50 wa kuwaomba msaada!?.., wewe ni mpuuzi na mpumbavu, samahani mkuu Kwa kukwambia ukweli...
Samahani yako kaa nayo, wewe ni bata mzinga.

Aliyekwambia marafiki wanapimwa kwa kushtukizwa hela ni nani? Rafiki sio financial institution kwamba at any time anakuwa na cash mkononi amesubiri umpime kwa kuomba hela ili akutumie kulinda urafiki wenu.

Wewe huna low thinking capacity bali ni kilaza. Kwahiyo kwa vile una kijiji kizima kwenye phone book ndio guarantee kwamba 50 kati ya hao watakutumia hela. Tofauti yako wewe na mdangaji ni nini sasa.

Au una makubaliano na Mungu kwamba ukiomba marafiki hela basi wawe nazo instantly. Watu kama wewe inabidi uwe chawa kwa matajiri (ambao sio marafiki zako kwa sababu hawawezi kuwa na rafiki kilaza kama wewe), hao ndio ukishtukiza hela wanakuwa nazo. Sio una marafiki level zako, wewe mwenyewe umekosa 50k yako hapo ila unalalamikia wenzako waliokosa hela hiyo hiyo uliyokosa wewe.
 
Sio kweli, huwezi kuguswa na matatizo ya watu wengi ukakosa hata mmoja wa kukuokoa,
Jitathmin labda una ujanja ujanja wa kisela usio na maana wakaamua kukupuuza.
 
Fanya urafiki na Mungu sio watu.wanaadamu ni marafiki ukiwa nacho tuu.yakikupata matatizo wanasambaa
 
Wanasema maisha ni watu ila ni bora kuwa na marafiki wachache wenye tija kuliko kuwa na marafiki wengi wasio na tija!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mshkaji wangu alinikopa 20K toka mwezi wa 10 mpaka leo hajairudisha na aliniambia baada ya mwezi ananipa na ni katibu wa vijana CCM kata ya Kisutu
 
Back
Top Bottom