Nimeghairi kula tunda baada tu ya kuniambia ameishi njombe zaidi ya mwaka

Nimeghairi kula tunda baada tu ya kuniambia ameishi njombe zaidi ya mwaka

Kuna demu nimemtongoza akaeleweka lakini aliponiambia tu amewahi kuishi njombe zaidi ya mwaka mmoja, stimu zimekata kabisaa, hii ni kutokana na story ninazozisomaga humu jf kuhusu njombe

Asanteni

Ukisema uchukulie serious kila kinachosemwa humu JF hutaweza hata kupumua[emoji23] “akili za kuambiwa changanya na zako”
 
Siku moja nimeenda Njombe kwenye mishe mishe nipo na jamaa mmoja, tukampigia Rafik yetu kwao Njombe, kaniambia hapo graph za HIV zipo upright, y= x²😄 tusiguse chochote hata maji tuchemshe😂😂😂😂.

Kulikuwa na baridi laana... yani ukiogea maji ya moto asubuh unakuta umechubuka.

. ...ukwel ninaoujua.......

Hakuna uhusiano wowote wa alipo mtu na ugonjwa wowote... na usipime kwa macho..
 
Kuna demu nimemtongoza akaeleweka lakini aliponiambia tu amewahi kuishi njombe zaidi ya mwaka mmoja, stimu zimekata kabisaa, hii ni kutokana na story ninazozisomaga humu jf kuhusu njombe

Asanteni
Umepotea ndugu kama akili zako ni hizo utaumia vibaya, kimsingi nashauri hadi sasa hauko salama, aina ya uogo huo tayari hujiamini, kondom huwezi unapenda mtelezo laini 🤣🤣🤣
 
Kuna demu nimemtongoza akaeleweka lakini aliponiambia tu amewahi kuishi njombe zaidi ya mwaka mmoja, stimu zimekata kabisaa, hii ni kutokana na story ninazozisomaga humu jf kuhusu njombe

Asanteni
Sio njombe tu iringa yote.

Kwani angekwambia ameishi miezi tisa njombe ungekuka Tunda?
 
FB_IMG_16942771419024655.jpg
 
Back
Top Bottom