Nimeghairi kula tunda baada tu ya kuniambia ameishi njombe zaidi ya mwaka

Nimeghairi kula tunda baada tu ya kuniambia ameishi njombe zaidi ya mwaka

Wewe Njombe ,mm hapo Iringa tu demu tumemeet hapa Dom nkaomba namba tukawaslian vzr nkarusha chambo akanasa shd anakuja kuniambia ametoka Iringa weeeh nkamwambia tukapime b4 tuanze madude hya akanruka mita100.

Penzi limedead kbs hd anashangaa na mm sio mpenz wa vyondomu kbs.
 
Kuna demu nimemtongoza akaeleweka lakini aliponiambia tu amewahi kuishi njombe zaidi ya mwaka mmoja, stimu zimekata kabisaa, hii ni kutokana na story ninazozisomaga humu jf kuhusu njombe

Asanteni
..........Watoto mpo wengi sana humu ndani.
 
Back
Top Bottom