Nimegoma Kuwa Mnyonge Mbele ya Polisi

Heeeeh watakunyonya na nya.
 
Jeshi letu si wanasema ni la kikoloni tulirithi kama lilivyo.
 
[emoji419]
 
Amfuate ya nin huna kosa alafu umfuate mtu muyajenge watanzania ni waoga sana Hana haja ya kumfuata huo ni mkwara tu
 
Thanks mkuu kwa taarifa hii, honestly usinielewe vibaya, nitajie road blocks or check points yeyote katika T1 yote ambayo iko na traffic officer's wanaotekeleza majukumu yao vema nitashukuru mno,maana nitakwenda mwenyewe na kuwapa high five
Acha huo ujinga wewe huna Kosa acha ufisi yaan unashindwa mpaka na madereva daladala
 
MWANAUME KUWA NA MSIMAMO, USIPIGWE MKWARA MDOGO HIVYO UNASHTUKA
 
Mikwara ya kijinga hiyo asikutishe hakuna kitu chochote atakachokufanyia fanya mambo yako tu Bongo wahuni wana vitisho wakati hawezi kufanya chochote na yeye mwenyewe anaweza kuwa mtuhumiwa vile vile..mimi huwa nakua mpole sana kwao ila wasinipande kichwani tuu...
 
Jamaa mwoga tu, hapo ana gari nzuri anatishwa hivyo,
Ajiulize virikuu vilivyo vibovu vinapita wapi? kama sio barabarani, na akihonga hela nyingi buku tatu, kuna wengine hadi hutoa buku tu,
Ukuwazoea traffic husumbuki unapeta tu,
Ukiwa na gari ya biashara tofauti na binafsi hawachukui hela hovyo hovyo mkuu
 
Jamaa mwoga tu, hapo ana gari nzuri anatishwa hivyo,
Ajiulize virikuu vilivyo vibovu vinapita wapi? kama sio barabarani, na akihonga hela nyingi buku tatu, kuna wengine hadi hutoa buku tu,
Ukuwazoea traffic husumbuki unapeta tu,
kweli kabisa, kujiamini muhimu
 
Broh ulichokosea ni kujua kama ww unakosa kweli.wakati hapo kesi ilikuwa kuwapa elfu 5 tu na kuondoka.wenyewe wanakusanya jion wanapiga pasu siku imeisha....vurugu za nini mji mdogo huu siku utapewa kesi ya ugaidi bureee kisa elfu 5
 
Jiandae kuwekewa Bangi kwenye gari yako mkuu
 
Mfute mwambie akae mbaliiii na gari lako maana Iko siku utampitia nalo aiache familia yake.
 
Unadhani hapa kwetu polisi wazuri hamna,ila wabaya wachache wanafanya polisi wote waonekane ovyo,lakini wazuri wapo wengi tu

Bro 90% ya traffic officers ni wasenge sana, labda hujakutana nao kwenye anga zao unaweza tamani kumtoa mtu mshipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…