To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Naomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please