Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Hayo mambo ya kutongoza mpaka kwenye fake ID,Mtakuja tongoza majini au utakuta To yeye ni kurubambe la mjini...

Jichanganye Uje kuleta Msiba humu!!!
Bora hata liwe kurumbembe la kike, unaweza kuta kumbe ni linjemba cross dresser la kiume linalochat kama demu humu

00ladyred-videoSixteenByNineJumbo1600.jpg
 
Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni, kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
To yeye umeliona tongozo shairi jipya?
 
Mbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
 
Back
Top Bottom