To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Tulia wewe🤭Ila ndio dawa ya mtu wa hivyo...unajifanya hujaelewa kabisaa😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe🤭Ila ndio dawa ya mtu wa hivyo...unajifanya hujaelewa kabisaa😅
🤐Tulia wewe🤭
Usitushangae jf ina mamanzi classicIla huwa nawashangaa wanaume wenzangu wanaotongoza Wadada JF.
Inafikirisha sana.
unatongoza kitu ambacho hukijui
🤣🤣 Hatimaye singlemom afikiwa😋Hadi joto limepanda na pressure juu..Pole sana kwa hili😂😂😂 Single mother amdatisha memba wa JF hadi kufarakanisha mahusiano ya wawili hao...😂😂😂 nafikiria story yake kichwa tayari!
🤣🤣🤣🤣Nimemjibu cute wangu😊To yeye wangu 😂, uko wapi mama.
Huna baya mtunuku mjomba...Apate ahueni sababu huko kwingine mambo yameshagoma...Kaambiwa aeende kwa To yeye akapeane😂😂😂🤣🤣 Hatimaye singlemom afikiwa😋
Bora hata liwe kurumbembe la kike, unaweza kuta kumbe ni linjemba cross dresser la kiume linalochat kama demu humuHayo mambo ya kutongoza mpaka kwenye fake ID,Mtakuja tongoza majini au utakuta To yeye ni kurubambe la mjini...
Jichanganye Uje kuleta Msiba humu!!!
Tz kuna macross dresser??Bora hata liwe kurumbembe la kike, unaweza kuta kumbe ni linjemba cross dresser la kiume linalochat kama demu humu
![]()
Noma mwanangu.Bora hata liwe kurumbembe la kike, unaweza kuta kumbe ni linjemba cross dresser la kiume linalochat kama demu humu
![]()
Fanyamasialaa nini! 😂😂😂 hapakaliki wala hapakuchi 🔥🔥🔥Ajitahidi kula Nazi mbichi na karanga mbichi....😉 Maana mziki wakeeee
Nahunga hoja nipo toka 2014 sijawahi fata manzi inbox ingekuwa fb unaona profile sawa Yani nipende maandishi yako shenzi kabisaIla huwa nawashangaa wanaume wenzangu wanaotongoza Wadada JF.
Inafikirisha sana.
unatongoza kitu ambacho hukijui
To yeye umeliona tongozo shairi jipya?Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni, kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
[emoji23][emoji23]