Hapa tayari mtu kapigwa chini[emoji23]Naomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
Usishangae mkuu, wanaume ni watu wa kuchukua risks, halafu ujue tu humu kuna vitu vya maana usiombe.Ila huwa nawashangaa wanaume wenzangu wanaotongoza Wadada JF.
Inafikirisha sana.
unatongoza kitu ambacho hukijui
πHapa tayari mtu kapigwa chini[emoji23]
Msaidie huyo faza benard πNimeona mkuu
HAHAHAHAHAKijana wewe ni domo zege pro max! Unatumia mbinu za miaka ya 70 huko kutongoza pisi za JF! Anyways, kila la heri!
πππππwe jamaaMsaidie huyo faza benard π
HAHAHAHATo yeye anakuja na Vaseline muda su mrefu... Hili ni dume limevaa dera
Nipo penzini mkuuMsaidie huyo faza benard π
Umeongea kiume.. Full stop!Naomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
πIla mkuu umeiomba kijasusi Sana,itakuwa umesoma Cuba.
Umeona kumwambia direct kuwa unampenda To yeye itakuwa siyo sawa,umekuja na staili ya kupoteza penzi la zamani ili to yeye akupe nafasi,maana penzi limetetereka kwaa ajili yake.
Mtu mbadi Sana wewe!!
you're a good socialiteNaomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please