Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Naomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
 
Hapa tayari mtu kapigwa chini[emoji23]
 
Umeongea kiume.. Full stop!
 
😊
 
you're a good socialite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…