Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Joined November 2022

Sa hivi ndo naona Ni new style ya kudanga kutafuta mabwana kujipigia promo
 
To yeye umeliona tongozo shairi jipya?
 
Mbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…