Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Usimrudishe kwao ,leeni wote huyo kiumbe . Jaribu kumuelewa huyo mama, kipindi cha ujauzito ni kipindi kigumu sana na hutofautiana baina ya mtu mmoja na mwingine , hivyo msitoke kwenye mstari
 
Pole mkuu lkn mie kwa uzoefu wangu kuhusu ujauzito ni kwamba
Mimba ya miezi michanga yaani 3/4/5
hii husumbua zaidi kuliko mimba ya miezi 6/7/8/9 kwakuwa miezi hyo mitatu ya mwanzo. hapo ndyo mtoto hufanyik
lkn pia ujauzito wa miezi hyo mtoto huwa achez tumbon hpo ndyo huwa pana kero sana

ushauri
Vumilia vituko vyake vya kpnd kifupi.......
..,heri wapatanishi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo mimba siyo ugonjwa lakini simfananishe mkeo mjamzito na wanawake wajawazito unaokutana nao huko mtaani, ni watu wawili tofauti hao, kila mtu hormones za kimba zinamfanya awe kivingine.
 
siku ya kujifungua aanze tena kulalamika, mpe nauli aende akapambane na mama ake mbona atafanya tu mazoezi.
Akiwa kwao wala hatajilaza hivyo.hio anakufanyia wewe tu. Makazin walimu wana.mimba sisi miaka flan mwalim wetu .mwalim galawika ilikua yupo darasan lakin mjamzito na anafubdisha vizuri tu.tenq kasimama.
 
Shukuru hata huyo anayelala. kuna mtu kisa kapata mimba hata hataki kumuona mumewe, hataki walae kitanda kimoja, yaani hata harufu ya mumewe hataki kuisikia. Yakikukuta si utazimia jamaa
 
Inaonesha kichaa cha Mimba umekibeba wewe,
Huwezi ukampigia simu mke wako na kumwambia mijineno yote hiyo na bado umerudi eti umenuna humsemeshi halafu unamwambia kesho unamsafirisha sijui asinyanyasike, lol

Wewe ndie una matatizo jitafakari msije mkamtesa huyo Malaika kwa ujinga wenu.
 
Ndiyo mimba siyo ugonjwa lakini simfananishe mkeo mjamzito na wanawake wajawazito unaokutana nao huko mtaani, ni watu wawili tofauti hao, kila mtu hormones za kimba zinamfanya awe kivingine.
Eti Mama anabeba beseni la Mboga anatembeza wanadhani wanapenda hayo maisha na je wale wanaoandikiwa completely bed rest wanajifanyisha?

Waafrika roho zetu!
 
Mimba changa huwa zinawatesa wanawake wengi sana ukiweza kuuvuka mtihani wa mimba chnga unakuwa mwanaume kamili.
 
Nashawishika kukuona ni miongoni mwa wanaume wakatili Kwa wake zao.Tuwahurumie wake ZETU haswa kipindi Cha ujauzito ukiwa unamsumbua na wakiwa wanaumwa!
 
Umemkosea sana aisee
Muombe radhi😆😆😆
 
Ndo huyo huyo mkeo aliyeaga kwenda singida akalala Dodoma mara mbili mwaka jana?! Mbona ni kama una go through a lot na huyo mwanamama🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…