Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Hapa kakosea vibaya Sana then anaonaa kawaida jamaa...Hana social skillsIla nnachojua kwenye mahusiano ukianza kumlinganisha mwenza wako na mtu mwingine
Wala hamna muda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kakosea vibaya Sana then anaonaa kawaida jamaa...Hana social skillsIla nnachojua kwenye mahusiano ukianza kumlinganisha mwenza wako na mtu mwingine
Wala hamna muda mrefu
Nyie watu daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka mama kijacho wangu enzi hizo alinambia nirudi na sanamu la posta na alikua siriazi[emoji23][emoji23]
Feminist1. Una umri gani mkuu?
2. Hii ni mimba ya kwanza?
3. Uliwahi kusikia habari za wajawazito?
4. Ulikuwa na haraka gani ya kupiga simu na
Uongee maneno mengi kiasi hicho?.
Makosa ni ya kwako umebwabwaja sana kwa mjamzito.
Uliposwa uwe na subra, ufike home mnaongea kirafiki huku ukipapasa kitumbo chake taratiiibu.
Acha kumlisha mwenzio ujingaume overeact mkuu , Just relax kunywa hata maji kama hutumii kilevi rudi nyumbani kwako mkuu usishindane na mwanamke mjamzito mambo ya kawaida hayo
HONGERA SOON UNAITWA BABA
Sent using Jamii Forums mobile app
Feminist hii usiisikilizeUshauri huu natoa bure sitaki hata mia yako. Rudi home, tulia, muombe msamaha kabisa!
Kesho wahi kutoka job, Rudi home mchukue nendeni Dukani, mpitishe kwenye ice cream ama pahala penye miti mingi, ama maji, aone ukuu wa Mungu na ajue mimba siyo ugonjwa.
Mkeo ana upweke sana ni vile hujajua tu, suala la ww kwenda job kurudi siyo issue kwa kipindi hiki
Kesho kutwa yake mpeleke akafanyiwe massage nzuri kabisa, atengeneze kucha, nywele ukiwepo, nasisitiza ukiwepo!
taratibu kabisa utashangaa na roho yako, utarudi kushukuru.
Umpeleke kwao ndo wamemtia mimba? em tuliza akili mwanaume
Weacha tu mkuu sababu kuna dada nafanya nae kazi ofisi moja yule dada alikuwa mjamzito yule dada alikuwa anakuja kazini mbaka anajifungua ndo wakampa likizo ya uzazi lakin alikuwa na uwezo wa kuomba likizo before hata ya kujifungua akajifungulie hata kwao lakini wapi mbakatulikuwa tunamuonea huruma kazi nyingine za kiofisi tunamsaidia katoka kujifungua January mtoto wa kiume
Kuwa makini na ushauri unaopokea unaangukia pua Sasa hivi[emoji1787],anaekupa ushauri unakuta yupo kwake muda huu anapapasa kijacho wake,au ameamshwa saa nane usiku akatafute tikiti na ameenda,..mjitahidi sana kusoma majarida yanayohusu uzazi na ujauzito.hata wanaume yanatusaidia sana kuishi na wake zetu na kuwasaidia kwenye hii safari..maamuzi yako mabovu yanaweza muathiri mtoto pia
Jifanye fala kwa mda akubadilishie jina.Sawa mkuu nimekuelewa
Kama umejitahidi kuongea naye vizuri ikashindikana, mpeleke kwao.Habar wana JF,
Nashukuru mungu wote ni wazima
Mtanisamehe mimi sio muandishi mzuri sana wakuu.
Nimetoka kugombana na wife mpaka nimebaki nashangaa na kuwaza kwa maneno alioyasema wife, nikwamba wife ni mjamzito wa miezi 4 sasa anatimiza ikifika tarehe 13 sasa leo nimetoka kazini nikawa nimekaa kwenye gari nawaza sana kutokana na maisha na life style anayoishi wife sio kabsa kiupande mwingine.
Kutokana na maisha yalivyo toka wife amebeba mimba anaishi life style ambayo kwa upande mwingine bado haijanivutia lakin ni kawaida sana yeye ni 24hrs/7days yupo ndani amelala akichoka anafungua insta atashinda mitandaoni akichoka sebleni kuangalia TV tamthilia zake mwenyewe.
Ni vizuri kupata muda wa kupumzika kwa hali yake lakini mimba sio mzigo au mimba sio ugonjwa ukufanye ushinde ndani 24hrs. Nikampigia sim kumjulia hali kashindaje leo then nikamuuliza unafanya nini akajibu yupo kitandani amelala.
Nikamwambia kiupole sana na kiutaarabu kuwa mkewangu em bas uwe unatoka na kuchakarika kuna duka la biashara now yupo kijana uwe hata unakwenda basi kuangalia mambo yanaendaje sio hadi mimi nitoke kazini nimechoka nipitie tena huko wakati wewe upo tu nyumbani umetulia vituvingine ni kuichangamsha akili na kupambana kuliko kushinda tu ndani mamaangu wewe sio mgonjwa.
Kusema kwamba huwez kutembea mbona kuna wanawake wana mimba lakini wanachakalika wengine unakutana nao anatumbo kubwa kabeba beseni lake la mboga anatembeza mitaani wengine wanakimbiza maofisi na matumbo yao tena makubwa lakin wanachakalika asubuh na mapema kashafika ofisi nikamwambia hayo siyo maisha uyaotaka kuishi.
Sijajua nihilo tu au kuna mengine ila Alivimba na kuanza kuongea kwa hasira na kuongea maneno mengi sana ambayo sikutegemea na kusema kuwa namnyanyasa mara kisa kubeba mimba naanza kumuona mjinga so nisimfananishe na hao wajinga ye anaakili zake na anajua anachofanya, mara nimeanza kumuona mzigo kwangu kwakuwa kabeba mimba duuh wakuu nilibaki nimeishiwa nguvu maana sikutegemea kama ndo yangekuwa hayo mara sasa ataondoka ataenda kukaa kwao duuh.
Kiukweli sikumjibu chochote nikaamua kutumia hekima tu maana yeye teali alishapanda kaamua kushuka nakumuacha nikakata simu yangu nikawaza sana huyu skuiz amekuaje kwamba ndo mimba inampeleka hivyo au nikaacha kama yalivyo lakin narud nyumbani njiani ninawaza sana yale maneno Nikafika home nikaingia ndani nikamkuta kakaa sebleni, sikumsemesha chochote nikapitiliza jikoni nikamkuta beki 3 anapika nikamuuliza kuwa dadaako kala akasema ndio alikula na saivi ndio napika chakula cha usiku nikasema powa nikapitiliza chumbani nikaingia bafuni nikaoga nikamaliza nikapanda kitandani nikapumzika.
Dakika 3 akaja chumbani kimya sikumsemesha kakaa nikamwambia jiandae kesho nakupa nauli yakuendea huko kwenu iliuepuke hayo manyanyaso unayosema.
Nikainuka nikavaa nikafungua mlango kabla sijatoka nikamwambia natoka napiga simu kwenu kesho wakupokee nikaondoka zangu now nipo somewhere nimetulia kwanza ila kweli nimewaza huyu kesho namsafirisha kweli sioutani acha aende kwanza kwao akatulie akikaribia kujifungua nitamfata wakuu kwasababu najitahdi sana anapopanda namimi nisipande maana minajijua nina hasira sana
Mimi pia hivyo hivyo kazi yake kulala tu ukimwambia aende mtaan kwny mambo ya msingi anasingizia kuumwaNikajua nipo mimi tu kumbe tupo wengi nimefarijika
Hata sijui rafiki nisanue basi...Unajua Kwanini hakukujibu lakin?