knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,453
- 2,234
- Thread starter
- #161
hamna kitu kama hiko, tatizo la kuwadekeza hao wanawake zenu na kujifanya mnaishi kisasa ndo shida inapoanzia hapo, mimi nimeshuhudia wanawake wengi tu akiwemo Mke wangu mpaka kesho anaenda kujifungua bado yupo gado
True mkuu ni kudekeza tu wake hamna kingine