Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

hamna kitu kama hiko, tatizo la kuwadekeza hao wanawake zenu na kujifanya mnaishi kisasa ndo shida inapoanzia hapo, mimi nimeshuhudia wanawake wengi tu akiwemo Mke wangu mpaka kesho anaenda kujifungua bado yupo gado

True mkuu ni kudekeza tu wake hamna kingine
 
Uko sahihi but jamaa katumia very poor approach.
Angepaswa wayaongelee mezani wakifurahi.
Unajua simu haiwezi kutengeneza mambo kama mtakavyofanya face to face

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Mkuu kwa hizo lawama za upande wako peke yako hazitoshi kutoa hukumu.

TungemskiA nA yeye anasemaje kukuhusu. Ila ungekua na nia Kweli usingekuja huku kuandika.. Kifupi kwa sasa mwenzio anaona kuwa urembo wake umeshuka daraja ndiyo maana anashindA ndani.

Cha kufanya acha maneno endeleA kumpa unyumba Tena Kila siku nyege nazo huleta hasira. Usimrudishe kwao mimba ni neema kubwa. Halafu punguza gubu mpelekee motoo ....

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Hata kama ndo mimba ya kwanza ndo uniagize barafu za kuchemsha?????

[emoji23][emoji23]daah haya bhana kuna mwamba humu kaambiwa akirud aje na sanamu la posta tena sio ombi ni lazima [emoji23][emoji23]
 
Shikilia hapo hapo japo nahisi ulishabugi step moja nyuma. Mke umemuendekeza sana coz kama mpo wawili tu hamna mtoto, binafsi sijaona sababu ya kuwa na beki3.

Hapo ndo ulipoanza kunyeshewa mvua.

Daah beki 3 nikwaajili ya kumsaidia kazi za home
 
Wanadeka hao ukijisahau tu unakuwa mume bwege, uyo asiende nyumbani abaki hapo hapo aende kwao akawe mjinga zaidi abaki hapo hapo ondoa dada wa kazi make afue apike na usiku akuhudumie mpaka daktari aseme mpumzishe wanakuwaga wajinga sana hao usipokuwa na msimamo
 
Kwakweli hali ni tete kunarfaikiyangu alikuwa mjamzito hali dagaa na mie sijui hekaheka za mimba nikawa naenda vile anatka anasema anatapika hataki hat kusikia harufu yake [emoji23] aha ankujaga weeknd nashindwa nae nahangaika na nyama na mboga nzuri nzuri had anapoondoka sikumoja nikakosa nikapika dagaa alikula had ugali ukaisha na hakutapika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23]daah
 
bro wewe ndo mwanaume katu usitegemee mwnamke panga mishe zako rudi nyumbani fuatilia kijana huyo tayari ushamkamatisha na hiko kibend ,,,cha pili usirudie kumfukuza mkeo eti wakupokee kwenu haya maamuzi huwa tunatoa mara moja tu na huwa hakuna kurudi nyuma hilo ni zigo lako wewe ni kichwa cha familia act like one.....na wala usijaribu kuwasukumia wazazi matatizo yako unless umeamua kuachana naye ...grow some balls asikuone kama yeye ni mkono wako wa kushoto cause atakua anakupanda kichwani,,,in fact mimi mke wangu sitaki ainglie mishe zake kihivyo maana anakua na kisirani kusema bila mimi huyu asogei

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Kwakweli hali ni tete kunarfaikiyangu alikuwa mjamzito hali dagaa na mie sijui hekaheka za mimba nikawa naenda vile anatka anasema anatapika hataki hat kusikia harufu yake [emoji23] aha ankujaga weeknd nashindwa nae nahangaika na nyama na mboga nzuri nzuri had anapoondoka sikumoja nikakosa nikapika dagaa alikula had ugali ukaisha na hakutapika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani wewe bado ku-experience hii kitu?
 
Unatakiwa umuendee taratibu kama unamnyatia balale. Ni muhimu kwa mjamzito kupiga tizi au kuwa na harakati but ikitokea ni mzembe unatakiwa utumie mbinu za kiintelijensia.

Ungefika home kwanza halafu ungemwambia twenzetu tukatafute kitu cha kula. Ili akubali kutoka halafu unatoka nae unamtembeza kipande fulani then unamrejesha home.

Ukifanya hili zoezi mara kadhaa utaona anarejea sawa na kukuunga mkono.

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Wanadeka hao ukijisahau tu unakuwa mume bwege, uyo asiende nyumbani abaki hapo hapo aende kwao akawe mjinga zaidi abaki hapo hapo ondoa dada wa kazi make afue apike na usiku akuhudumie mpaka daktari aseme mpumzishe wanakuwaga wajinga sana hao usipokuwa na msimamo

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Ila nnachojua kwenye mahusiano ukianza kumlinganisha mwenza wako na mtu mwingine
Wala hamna muda mrefu
Sahihi,anataka make wake awe kama wajawazito anao waonanhuko,mimba hazifanani bro..kulinganisha ni kosa kubwa mnoo..inaonekana Bado mchanga kwenye ndoa..miaka ya mbeleni ukishapata uzoefu ukiurudia huu Uzi utajicheka sana..kwa lipo hapo la kumrudisha make wako kwao hahahaa akichepuka siku si utaua??komaa kaza mimba ni kipindi Cha mpito na kitapita kuwa makini na maamuzi yako usikurupuke
 
Well said mkuu ndomana nikawaza huyu lazima aende kwao kweli akatulie kwanza
Kuwa makini na ushauri unaopokea unaangukia pua Sasa hivi🤣,anaekupa ushauri unakuta yupo kwake muda huu anapapasa kijacho wake,au ameamshwa saa nane usiku akatafute tikiti na ameenda,..mjitahidi sana kusoma majarida yanayohusu uzazi na ujauzito.hata wanaume yanatusaidia sana kuishi na wake zetu na kuwasaidia kwenye hii safari..maamuzi yako mabovu yanaweza muathiri mtoto pia
 
Ushauri huu natoa bure sitaki hata mia yako. Rudi home, tulia, muombe msamaha kabisa!

Kesho wahi kutoka job, Rudi home mchukue nendeni Dukani, mpitishe kwenye ice cream ama pahala penye miti mingi, ama maji, aone ukuu wa Mungu na ajue mimba siyo ugonjwa.

Mkeo ana upweke sana ni vile hujajua tu, suala la ww kwenda job kurudi siyo issue kwa kipindi hiki

Kesho kutwa yake mpeleke akafanyiwe massage nzuri kabisa, atengeneze kucha, nywele ukiwepo, nasisitiza ukiwepo!

taratibu kabisa utashangaa na roho yako, utarudi kushukuru.

Umpeleke kwao ndo wamemtia mimba? em tuliza akili mwanaume
Safi sana
 
Weacha tu mkuu sababu kuna dada nafanya nae kazi ofisi moja yule dada alikuwa mjamzito yule dada alikuwa anakuja kazini mbaka anajifungua ndo wakampa likizo ya uzazi lakin alikuwa na uwezo wa kuomba likizo before hata ya kujifungua akajifungulie hata kwao lakini wapi mbakatulikuwa tunamuonea huruma kazi nyingine za kiofisi tunamsaidia katoka kujifungua January mtoto wa kiume
Hili ndio tatizo lako wewe hii ni zaidi ya malambili naona unamfananisha mkeo na wanawake wanawake wengine kwanini umfananishe mkeo na wanawake wengine huku ni kumkosea na kukosea thamani yake naunga Mkono kuwa mkeo anatumia miamba Kama excuse ila mambo ya kumfananisha mkeo na wanawake sijui anauza matembere,, ofisini kwenu unamkosea mkeo...Mosi

Pili maneno uliyomwambia yana insult Sana ulibidi umuambie mukiwa mfano kitandani kwenye randomly convo unamwambia kwa mapenzi

"mke wangu kutooana na Hali yako inabidi ufanye mazoezi malamoja unatoka unaenda hata Dukani kucheki hesabu nk"

Hio ndio lugha sio kitu anafanya muda wa miezi mienw from know where umwambiw kwenye simu like Kama jobless tena na kumfananisha na wengine hakuna kitu Cha kijinga Kama kufananishwa na wengine ndio maana akajabu 'nina akili zangu' unamfananishaje mkeo na mwengine aiungeoa huyo mwengine.
 
Back
Top Bottom