Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Linapokuja suala la dawa, sehemu yoyote ya mwili inaweza kuwa route of administration mkuu...

Kwa watoto, per rectal PCM ni common sana wala siyo kitu kigeni hasa hasa ukizingatia kupata mishipa kwa watoto ni kazi sana.

Umesema una watoto 3, ina maana hao wengine hawajawahi kupata joto kali maishani mwao?
 
Linapokuja suala la dawa, sehemu yoyote ya mwili inaweza kuwa route of administration mkuu...

Kwa watoto, per rectal PCM ni common sana wala siyo kitu kigeni hasa hasa ukizingatia kupata mishipa kwa watoto ni kazi sana.

Umesema una watoto 3, ina maana hao wengine hawajawahi kupata joto kali maishani mwao?
Wamewah ila hii njia sikuwah kukutana nayo
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.

Mkuu ni haki yako kuuliza, kueleweshwa, kukubali na kukataa.

Baada ya kupitia maoni mbalimbali:

Inaonekana huyo Dr. hakuwa na intravenous paracetamol. Vile vile aliona kumpa paracetamol ameza isingekuwa njia nzuri kutokana na hali ya mgojwa na kidonge cha kumeza kinachelewa kufanya kazi.

Hivyo akaona njia ya haraka kwa dawa kufanya kazi ni kumuwekea sehemu ya haja kubwa (rectal paracetamol). Hapa dr. alikuwa sawa kabisa.

Njia hii ya rectal administration kwa dawa ni common sana.
Ila sema tu ulikuwa labda huifahamu wala haina uhusiano na lgbtq+.

NB: Mgonjwa wa kike kupewa dawa kwa njia ya haja kubwa (rectal) inaweza ikawa na changamoto kubwa wakati mwingine.

Kuna cases zimeripotiwa kwa wagonjwa wa kike. Badala ya dawa kuwekwa sehemu ya haja kubwa ikawekwa kwenye sehemu ya siri ya kike. Mfano paracetamol badala ya kuwekwa rectally inawekwa kwenye vagina. Kosa hili lina madhara makubwa kwa mhudumu wa afya hasa kwenye nchi zinazo jitambua.

Kuhusu diclofenac kutolewa kwa njia ya iv.
Ni safe practice iv diclofenac ikiwa diluted kwenye Normal saline au Dextrose 5% halafu mgonjwa akapewa kwa njia ya drip.

Diclofenac inaweza akapewa mtoto mwenye umri zaidi ya miezi 6.

Kwa hiyo mkuu Ivan ulikuwa sawa kabisa kuhoji. Ila uwe makini sana hasa hali ya mgonjwa inapokuwa mbaya. Joto kali linaweza likapelekea mtoto akapata kifafa (febrile convulsions). Dawa ikiwekwa rectally inafanya kazi haraka. Na dr. aliona kumpa iv paracetamol isingekuwa njia salama.
 
Kwa mwanangu ni sawa tu kuwa mjuaji. And by the wayg sitibiwi bure natumia pesa. Pia mimi sio kayumba nina reasoning yangu nzuri. Pia nina amin katika alternatives. Mimi sio mshirikina wa kila kitu TAWIREEEE. umenisoma kijana? Zaa wa kwako ukamsikilize dokta kwa kila kitu
Unayembishia ndo anajua kuliko ewe,
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
IPO siku utajitia mwenyewe kidonge mkundhuni ndio utaanza kuijuwa dunia, bado hujakuwa.

Tena utalazwa kitandaoni na daktari atavaa gloves na kuanza kukutia madole kutafuta ugonjwa umekudhuru kiasi gani.

Yaonesha una umri mchache hapa duniani.
 
IPO siku utajitia mwenyewe kidonge mkundhuni ndio utaanza kuijuwa dunia, bado hujakuwa.

Tena utalazwa kitandaoni na daktari atavaa gloves na kuanza kukutia madole kutafuta ugonjwa umekudhuru kiasi gani.

Yaonesha una umri mchache hapa duniani.
Pole mkuu. Ila haikusaidii kuwa mchawi wa kiwango.. utaanza wewe
 
IPO siku utajitia mwenyewe kidonge mkundhuni ndio utaanza kuijuwa dunia, bado hujakuwa.

Tena utalazwa kitandaoni na daktari atavaa gloves na kuanza kukutia madole kutafuta ugonjwa umekudhuru kiasi gani.

Yaonesha una umri mchache hapa duniani.
Atapigwa madole hadi ajiulize hiki nini
 
Pole mkuu. Ila haikusaidii kuwa mchawi wa kiwango.. utaanza wewe
Hivyo vidonge wanavyoweka mkunduni ni kwa ajili ya kutibu bawasili au mgoro, na ili kidonge kiingie mkunduni lazima ujipige dole au uombe mtu akuingize na kwenye kukuingiza lazima akupige dole ila kwa wewe hawatokuwekea vidonge watakupiga tu madole yaliyopakwa mafua subiri uzeeke tezi lako dume litutumuke waende kulipasua ndio utaelewa ukigoma wasikupige madole ili walipasue kifo hiki hapa, sasa unakubari kufa au unakubari kupiga madole?
 
Zamani niliwahi kuisikia hiyo dawa, sikujua kwa nini ipitishwe humo.

Pengine ni tiba ila yaweza kuwa kichocheo cha cha yale mengine
 
Hata mimi nisingekubali !!!!! Usiniulize kwa nini ila nisingekubali!!!
 
Shukran mkuu, mimi japo sipo bongo ila ndio nashangaa hadi leo ni kama kitu kigeni mtu anakataa route ya rectal kama tiba ya kushusha jotoridi la mwili.

Jotoridi linaweza chukuliwa kwenye mdomo, kikwapa na puru pia , sijui wamemchukua kwa njia ipi.

Kiukweli daktari nadhani hajamuambia tu kuwa hana IV acetaminophen/paracetamol ndio maana kaenda kwenye suppository.

Ila route nyingine kama vaginal [pessaries&tablets] siku huyu jamaa akikuta mkewe kaandikiwa either of those anatakiwa kuchomeka huko sijui itakuaje nadhani jamaa ataua daktari hahah.

Elimu muhimu watu wasifundishwe tu kuhusu condom hata tiba hizi za aina tofauti ambazo zinaweza kuwa na aibu kutokana na tamaduni.

Huku hizo pessaries,suppositories kawaida sana kutoa na mnaongea na mgonjwa bila kificho na kwa furaha tu.
Mkuu,

Ushawahi kukutana na wale Jehovah Witnesses ambao hawataki kuwekewa damu, hata wakiona wanakufa, wanaona ni bora wafe kuliko kuwekewa damu?

Basi na wabongo wengine nao wapo kama hao Jehovah Witnesses kwenye suala hili.

Ukiwaambia habari za puru ni kama unawapa dawa inayoingilia imani yao, kama kuna alternate bora wapewe hiyo tu kuepusha matatizo ya kimaadili ya matabibu kulazimisha dawa kinyume na matakwa ya kiimani ya wagonjwa.

Sasa siku wakiumwa bawasiri na kuambiwa wapake dawa kwenye puru au wabaki na bawasiri sijui itakuwa vipi hapo?
 
Hivi mkuu,ikitokea ana tatizo la bawasili au kidole matako na ukapewa dawa kama anusol uwe unamwokea huko tunduni Napo bado utakomaa na alternative ambavyo ni upasuaji wa tunduni?
 
Back
Top Bottom