antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mwanaume anataka awe mwenyewe bhana.Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa
Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Njoo inbox uchukueLini umenipatia hiyo namba?
Nipatie hizo # Unipee story za tabia mbaya kwa sauti sio maandishi.
Vijana hawarudii tena kurudia hizo michezo, mama mkali sanaMuda sio mrefu utatoa video kama ya wale Maafande na Binti wa Yombo.Endelea Umefika pazuri.
Njoo whatsapp uniambieNimegundua kitu sitaki kukisema hapa ni PM nikuambie πππ
Usikate ni story hii
We unadhani kwanini walimrekodi binti wa miaka 17?Huo ni uongo wanawake wenyewe wa kizazi kipi wenye uwezo wa kufanya hivyo, aseme amelala nao wote ataeleweka kirahisi sana
Na kweli ndio hvo
Poteto PotatoUmegonganisha Mabwana au Umegonganisha Wanaume?
Na sisi tunachagua tunaempendaKuwa mwanamke kazi sana inakubidi usubiri watakaokuchagua wewe ndo uchague katika hao πππ
Wanaume wanachagua yoyote.
Sio kweliMwanaume anataka awe mwenyewe bhana.
Akishajua kuna ushirika hapo stimu inakata chap
Nipe connection π€£π€£π€£We unadhani kwanini walimrekodi binti wa miaka 17?
Famasiala na wanawake au?
Mwanamke anatakiwa kupendwa na Yeye sharti amheshimu anayempendaNa sisi tunachagua tunaempenda
Nilishakwambia asubuhi tayari πππNjoo whatsapp uniambie
Nimeambulia patupu! Ngoja niendelee kusoma "comments" za wadau huenda nikaambua chochote.Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe
Money penny: enhe nambie mrembo
Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,
Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,
Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa
Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi
Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja
Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A
Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza
Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili
Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,
Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa
Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Njoo na hukuNimeambulia patupu! Ngoja iendelee kusoma "comments" za wadau huenda nikaambua chochote.
SauwaMwanamke anatakiwa kupendwa na Yeye sharti amheshimu anayempenda
Nilishakwambia asubuhi tayari πππ
Kwani mpaka hapo hujui walikuwa wanataka nini hadi wakutongoze?Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe
Money penny: enhe nambie mrembo
Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,
Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,
Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa
Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi
Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja
Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A
Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza
Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili
Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,
Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa
Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Bora tukutanie kwa Yesu kuliko kwa shetani, kwa shetani unarekodiwa videoKwani mpaka hapo hujui walikuwa wanataka nini hadi wakutongoze?
Ni kulowekwa tu hamna kingine.
Ndio maana waTanzania mmekuwa wa 5 duniani kwa kupenda dini. Kumbe ndio tabia zenu mmegeuza dini na makanisa vijiwe vya kukutania na wapenzi wenu.
Njoo inbox uchukue
Unaninyanyasa sana,kukutafuta WhatsApp bado kimyaNjoo inbox uchukue