Watu wanaweza kuamua uishi vipi Hadi unarudisha namba.Wenzako nao wanaishi kwa waliyo pangiwa, kila mtu ana mkate wake kwa kiasi chake.
Mnamaliza wote shule, wote mmefaulu vizuri, halafu mwenzio siku moja anakutana na mtu kwenye daladala wanaketi pamoja na kubadilishana mawazo, kupitia huyo mtu anapata kazi nzuri na anaacha kupanda daladala wewe upo tu unapanda daladala kila siku unaishia kuambiwa nyanyua miguu niingize mzigo hukutani na connection. Huyu aliyepata connection kwenye daladala amepanda nini cha tofauti kama si bahati tu?Hakuna kitu kinaitwa bahati! Apandacho mtu ndicho avunacho!
Hakuna mtu anaye weza kuzuia fungu au riziki ya mwingine, akidhulumu na ukipata kidogo basi hicho ndicho ulicho pangiwa kupataWatu wanaweza kuamua uishi vipi Hadi unarudisha namba.
Unaweza ukawa unajiona una gundu kumbe yupo mhusika.
Usipokuwa mjanja wanachukua Hadi iliyo haki yako.
Mkuu,Hili swala nilikua nalijua ila Leo baada ya message flani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambae nilizoeana nae ambapo alikua mfanya usafi ofisini,Baadae alipata kazi sehemu nyengine ila Kwa wakati kadhaa alikua ananipigia simu na kunipiga vizinga sababu nilikua najua hali yake(ni Malawian) nikawa Nampa tafu ila sometimes hua Namzingua kuhusu tabia yake. Ila Leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana. View attachment 3035866
Alivoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana,Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kua una Bahati.
Kina pangwa na nani mkuu?Hakuna bahati hapa duniani, kila kitu kilisha pangwa na kila mtu anapata anacho stahili.
Anaye panga ni yule aliyekupa nafasi ya kuwepo hapa duniani, yaani Mungu wa wote.Kina pangwa na nani mkuu?
Maisha ya mwanadamu hayafanani na kitu kupata kidogo tofauti na ulichowaza ..Mzee shtuka wapo wanaovuna zaidi ya mlimaji .... Naongelea experience sio tafiti wala hearsays.Hakuna mtu anaye weza kuzuia fungu au riziki ya mwingine, akidhulumu na ukipata kidogo basi hicho ndicho ulicho pangiwa kupata
Hakuna anae panga maisha , kila kitu kinachokoea kwenye maisha ya mtu kimetokea kwa matokeo ya mpangilio wa matukio ya nyuma ya kistoria ambayo ni kama bahati tu .Anaye panga ni yule aliyekupa nafasi ya kuwepo hapa duniani, yaani Mungu wa wote.
😍 noted kakaMkuu,
Watu wanaidogosha sana sehemu ya bahati.
Huchagui utazaliwa wapi, huchagui utazaliwa na wazazi gani, huchqgui utarithi genes zipi, na hata mambo unayochagua, kama kukutana na nani, wapi, huna conyrol nayo.
Fikiria hivi, nchi unqyozaliwa tu ina mchango mkubwa sana wa ku dictate maisha yako yataendaje.
Na hilo huchagui.
Wazazi wanaokuzaa tu wana mchango mkubwa sana wa kunshape maisha yako yatakavyokwenda.
Na huchagui wazazi.
Hata yule Nyerere unaweza kumuona kichwa, lakini kulikuwa na vichwa zaidi yake tatizo hawajazaliwa famikia za kichifu tu, na kwa sababu hiyo, walikosa nafasi ya kusoma, Nyerere akaipata.
Yani asingekuwa na bahati ya kuzaliwa famikia ya Chifu, asingesoma na historia ingekuwa tofauti sana.
Kweli wapo wanao dhulumu na kula vya wenzao, lakini nao yatawarudia na kufanyiwa kama walivyo fanyia wenzaoMaisha ya mwanadamu hayafanani na kitu kupata kidogo tofauti na ulichowaza ..Mzee shtuka wapo wanaovuna zaidi ya mlimaji .... Naongelea experience sio tafiti wala hearsays.
Naam!Mkuu,
Bila mimi kudogosha sehemu ya jitihada binafsi za kila mtu, ambayo nayo ni kubwa tu, ukweli ni kwamba, watu wengi wanaidogosha sana sehemu ya bahati.
Huchagui utazaliwa wapi, huchagui utazaliwa na wazazi gani, huchagui utarithi genes zipi, na hata mambo unayochagua, kama kukutana na nani, wapi, huna control nayo.
Fikiria hivi, nchi unqyozaliwa tu ina mchango mkubwa sana wa ku dictate maisha yako yataendaje.
Na hilo huchagui.
Wazazi wanaokuzaa tu wana mchango mkubwa sana wa kunshape maisha yako yatakavyokwenda.
Na huchagui wazazi.
Hata yule Nyerere unaweza kumuona kichwa, lakini kulikuwa na vichwa zaidi yake tatizo hawajazaliwa famikia za kichifu tu, na kwa sababu hiyo, walikosa nafasi ya kusoma, Nyerere akaipata.
Yani asingekuwa na bahati ya kuzaliwa famikia ya Chifu, asingesoma na historia ingekuwa tofauti sana.
SAWA SAWA!Anaye panga ni yule aliyekupa nafasi ya kuwepo hapa duniani, yaani Mungu wa wote.
Matukio ya nyuma yalisha pita, matukio yajayo hayajulikani, wote tuliopata nafasi ya kuwepo hapa duniani ni kwa sababu maalum wala sio bahati mbayaHakuna anae panga maisha , kila kitu kinachokoea kwenye maisha ya mtu kimetokea kwa matokeo ya mpangilio wa matukio ya nyuma ya kistoria ambayo ni kama bahati tu .
[emoji16][emoji16]Mnamaliza wote shule, wote mmefaulu vizuri, halafu mwenzio siku moja anakutana na mtu kwenye daladala wanaketi pamoja na kubadilishana mawazo, kupitia huyo mtu anapata kazi nzuri na anaacha kupanda daladala wewe upo tu unapanda daladala kila siku unaishia kuambiwa nyanyua miguu niingize mzigo hukutani na connection. Huyu aliyepata connection kwenye daladala amepanda nini cha tofauti kama si bahati tu?
bahati inakuja na nyota ya mtu. utaweza nielewa mpaka unaingia kaburini.Akili zako hazitumik sawasawa! Bahati ni nn? Huko kwenye nyota mtu kashapita ndo maana anabahat.
Uwepo wa wewe ni matukio ya babu na bibi yako kukutana, hauwezi kupuuza ya nyuma wakati ndio yameleta matokeo ya sasa.Matukio ya nyuma yalisha pita, matukio yajayo hayajulikani, wote tuliopata nafasi ya kuwepo hapa duniani ni kwa sababu maalum wala sio bahati mbaya
Uko sahihi kbsaMkuu,
Bila mimi kudogosha sehemu ya jitihada binafsi za kila mtu, ambayo nayo ni kubwa tu, ukweli ni kwamba, watu wengi wanaidogosha sana sehemu ya bahati.
Huchagui utazaliwa wapi, huchagui utazaliwa na wazazi gani, huchagui utarithi genes zipi, na hata mambo unayochagua, kama kukutana na nani, wapi, huna control nayo.
Fikiria hivi, nchi unayozaliwa tu ina mchango mkubwa sana wa ku dictate maisha yako yataendaje.
Na hilo huchagui.
Wazazi wanaokuzaa tu wana mchango mkubwa sana wa kunshape maisha yako yatakavyokwenda.
Na huchagui wazazi.
Hata yule Nyerere unaweza kumuona kichwa, lakini kulikuwa na vichwa zaidi yake tatizo hawajazaliwa famikia za kichifu tu, na kwa sababu hiyo, walikosa nafasi ya kusoma, Nyerere akaipata.
Yani asingekuwa na bahati ya kuzaliwa familia ya Chifu, asingesoma na historia ingekuwa tofauti sana.
Ila, kitu muhimu ni kuishi kwa kujiandaa vilivyo, when preparation meets opportunity, good luck happens.
Huelew nini? Sasa ukiona mtu anabahat jua tayar nyota ipo vzr.bahati inakuja na nyota ya mtu. utaweza nielewa mpaka unaingia kaburini.
View attachment 3035887