Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Wewe mkuu unalijua jicho lako la tatu lilipo?mungu hapangi bahati bali kakupa vyote ila kwa vile ujui kuvitumia kupitia jicho la tatu
View attachment 3035893
View attachment 3035894
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkuu unalijua jicho lako la tatu lilipo?mungu hapangi bahati bali kakupa vyote ila kwa vile ujui kuvitumia kupitia jicho la tatu
View attachment 3035893
View attachment 3035894
Mkuu unaposema bahati unamaanisha niniKutoboa ni bahati na si hardwork.
Kutoboa ni connection pia.
Riziki ya mtu ipo mikononi mwa mtu.
hata wewe unalo ila la kwako unalokwendea chooniWewe mkuu unalijua jicho lako la tatu lilipo?
Nadhani kama jamaa ni mkiristo mpe mfano wa namna Yakobo alivyoiba mbaraka wa Esau.Kumbuka unaweza ukapangiwa na wenzako wakaishi ulivyopangiwa..... Kuna gepu hapo Kati.
Kudhulumu na kula vya watu ni moja ya tabia ya wanadamu, ila watalipwa kama wanavyo fanyia wenzaoNadhani kama jamaa ni mkiristo mpe mfano wa namna Yakobo alivyoiba mbaraka wa Esau.
Namna ya kupima mafanikio hapo ndo changamoto, discipline yetu kwenye pesa nikipengele....Hizi mambo zina ukweli. Kuna jamaa kila nikimuona naumia sana. Mbunifu, ana akili sana na sio mchoyo wa maarifa. Cha ajabu kilekile anachofanya yeye hafanikiwi naona anapiga tu mark time na maisha, ila kwa mbinu hizohizo akiwapa wengine wanatoboa. Inatafakarisha!
Mkuu unaposema bahati unamaanisha nini
Ila ili hiyo kitu uonee ni bahati nyuma kuna mlolongo wa mpangilio wa matukio sema unaona kama ni bahati tu lakini kuna mpangilio mkubwa wa matukio.One Shot.
Hapana mkuu wewe umeleta habari za majicho matatu ndo nimekuuliza hapo vipo wewe mwenztu ushafungua jicho lako la tatuhata wewe unalo ila la kwako unalokwendea chooni
Kila mtu Ana mda wakeHili swala nilikua nalijua ila Leo baada ya message flani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambae nilizoeana nae ambapo alikua mfanya usafi ofisini,Baadae alipata kazi sehemu nyengine ila Kwa wakati kadhaa alikua ananipigia simu na kunipiga vizinga sababu nilikua najua hali yake(ni Malawian) nikawa Nampa tafu ila sometimes hua Namzingua kuhusu tabia yake. Ila Leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana. View attachment 3035866
Alivoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana,Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kua una Bahati.
Mimi ni mwanadamu kama weweKwahiyo wewe ni mkristo au muislamu?
Ni ngumu sana wewe kuamini Mungu mmoja halafu usiwe muislamuMimi ni mwanadamu kama wewe
Yaweza ikawa imani zinafanana lakini bado Mungu ni mmoja tu mkuu.Ni ngumu sana wewe kuamini Mungu mmoja halafu usiwe muislamu
Bahati ni jambo jema au baya linalokuja bila wewe kutarajia, ila ukichunguza vizuri kuna mlolongo wa matukio mengi mno yanajipanga ili uone hiyo ni bahati.Asilimia 100 ya makocha wote kwenye michezo duniani inapotokea kuwa wamepoteza mechi ilhali walikuwa wamecheza vizuri kuliko wapinzani wao jibu huwa ni moja tu... " hatukuwa na bahati siku ya leo".
Hivyo katika maisha pamoja na jitihada tunatakiwa kuwa na bahati.
NA wahenga walisema heri ukose mali kuliko kukosa bahati. Wengine wakasema jitihada hazishindi kudra.
Ila ili hiyo kitu uonee ni bahati nyuma kuna malolongo wa mpangilio wa matukio sema unaona kama ni bahati tu lakini kuna mpangilio mkubwa wa matukio.
kuna utofauti kati ya riziki na bahati?Yaweza ikawa imani zinafanana lakini bado Mungu ni mmoja tu mkuu.
Tofauti ni kwamba Riziki ni kitu halisi na kipo, bahati haipo na ni jambo la kufikirikakuna utofauti kati ya riziki na bahati?