Kuna wengine hakuna cha mpangilio wa matukio ni one shoot kama alivyosema King Kong III.Ila ili hiyo kitu uonee ni bahati nyuma kuna mlolongo wa mpangilio wa matukio sema unaona kama ni bahati tu lakini kuna mpangilio mkubwa wa matukio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine hakuna cha mpangilio wa matukio ni one shoot kama alivyosema King Kong III.Ila ili hiyo kitu uonee ni bahati nyuma kuna mlolongo wa mpangilio wa matukio sema unaona kama ni bahati tu lakini kuna mpangilio mkubwa wa matukio.
Na hayo matukio hufuatana na jitihada,lakini pia bahati tukiiweka wa ubaya( bahati mbaya) tunakosea. Lolote kinalokuja kwa ubaya tuite mkosi si bahati mbaya. Bahati ni ile chanya inayokuja kwa matokeo mazuri.Bahati ni jambo jema au baya linalokuja bila wewe kutarajia, ila ukichunguza vizuri kuna mlolongo wa matukio mengi mno yanajipanga ili uone hiyo ni bahati.
Ni bahati kwa sababu haukutarajia imekua hivyo akilini, ila kuna mapangilio mkubwa wa matukio mpaka sativa akapona , yani hata ukaokota burungutu la pesa itakua ni bahati kwako kwa sababu hukutarajia ila kulikua na mpangilio mkubwa wa matukio huko nyuma mpka ukaokota pesa.Maisha hayana formula mkuu ,hizo series za matukio ya nyuma wengi wamefanya na hawajatoboa.
Tuliambiwa soma ili ufanikiwe ila % kubwa waliofanikiwa hawana kisomo kikubwa ,sizungumzii utajiri wa kibongo nyumba na gari ndogo ,nazungumzia fortune(Kutoboa).
Hata hao waliosoma na kufanikiwa utajiri wao haukutokana na kisomo bali ni njia za panya walizotumia kujitajirisha ,wapo waliofanya ufisadi ,weezy,rushwa etc.
Ebu Pata picha Sativa ametupwa pembeni ya bwawa lenye mamba na viboko ,pori lenye mbwa mwitu na simba ,kisha akapigwa risasi lengo kufumua medula oblangata lakini ikapiga pembeni na akaziduka saa 9 usiku akaijikokota hadi barabara akaonwa na askari wa porini na akatoboa ,hizo ndizo tunazosema bahati ,hauwezi kufanya wewe kama wewe au series of event ili zijenge bahati.
Riziki ni nini?Tofauti ni kwamba Riziki ni kitu halisi na kipo, bahati haipo na ni jambo la kufikirika
Mkuu bahati ni kitu chochote kiwe kizuri au kibaya kinachokuja bila wewe kutarajia ,kikiwa ni kizuri unaita bahati nzuri kikiwa kibaya unaita bahati mbaya.Na hayo matukio hufuatana na jitihada,lakini pia bahati tukiiweka wa ubaya( bahati mbaya) tunakosea. Lolote kinalokuja kwa ubaya tuite mkosi si bahati mbaya. Bahati ni ile chanya inayokuja kwa matokeo mazuri.
Kinyume :
Bahati- Mkosi
Riziki ni kila neema ambayo mwanadamu anaipata kutoka kwa Mungu wake/wetu. Pumzi, afya, kipato, watoto, kipaji, n.kRiziki ni nini?
Nipe mfano wa one shoot ni kupe mpangilio wake.Kuna wengine hakuna cha mpangilio wa matukio ni one shoot kama alivyosema King Kong III.
Kwahiyo riziki ni majaliwa?Riziki ni kila neema ambayo mwanadamu anaipata kutoka kwa Mungu wake/wetu. Pumzi, afya, kipato, watoto, kipaji, n.k
Kwanini wengine waliopita kwenye hiyo barabara hawakuona burungutu? Why burungutu uokote wewe? Hizo ndizo tunazosema BAHATI.Ni bahati kwa sababu haukutarajia imekua hivyo akilini, ila kuna mapangilio mkubwa wa matukio mpaka sativa akapona , yani hata ukaokota burungutu la pesa itakua ni bahati kwako kwa sababu hukutarajia ila kulikua na mpangilio mkubwa wa matukio huko nyuma mpka ukaokota pesa.
Mbona sio watu wote wenye bahati kama huyo Mungu ni wa wote?Anaye panga ni yule aliyekupa nafasi ya kuwepo hapa duniani, yaani Mungu wa wote.
Riziki ni mambo mema au mazuri ambayo mtu huyapata kutoka kwa Mungu wake.Kwahiyo riziki ni majaliwa?
Mungu hatoi bahati, anatoa neema kwa watu wote, hata maskini wa kipato wana neema nyingine nyingi tu ambazo Mungu amewapa.Mbona sio watu wote wenye bahati kama huyo Mungu ni wa wote?
Mungu gani wa wote anaye panga bahati kwa wachache?
Mkuu ni matokeo ya fikra , zamani Africa tulikua tunachezea almasi bao ,wazungu wakaja na fikra tofauti kuhusu almasi wakafanikiwa na almasi ikawa kitu cha dhamani na wakatajirika .Riziki ni kila neema ambayo mwanadamu anaipata kutoka kwa Mungu wake/wetu. Pumzi, afya, kipato, watoto, kipaji, n.k
Hapana ni mazoea tu lakini si sahihi, ukisema bahati tu ujue ni matokeo chanya yasiyotarajiwa yale mazuri.Mkuu bahati ni kitu chochote kiwe kizuri au kibaya kinachokuja bila wewe kutarajia ,kikiwa ni kizuri unaita bahati nzuri kikiwa kibaya unaita bahati mbaya.
Vipi jambazi anayepata bahati ya kutoroka jela,Riziki ni mambo mema au mazuri ambayo mtu huyapata kutoka kwa Mungu wake.
Almasi na mali zote za ardhini sio za mwanadamu, tumezikuta na tutaziachaMkuu ni matokeo ya fikra , zamani Africa tulikua tunachezea almasi bao ,wazungu wakaja na fikra tofauti kuhusu almasi wakafanikiwa na almasi ikawa kitu cha dhamani na wakatajirika .
Maisha wakati mwingine hutofautiana kutokana na tofauti za kifikra.
Jambazi ni mtu mwenye maamuzi na uwezo binafsi wa kuamua, yupo responsible kwa matendo yake na ana free will of choicesVipi jambazi anayepata bahati ya kutoroka jela,
Na hii pia utasema ni jambo jema ambalo jambazi huyo amepata kutoka kwa huyo Mungu?
Inawezekana waliopita walikua na mawazo , au walipita bila kuangalia chini na wewe ukapita kwa sababu nyingne iliyokupitisha pale ukaangalia chini ukaokota na Inawezekana hao wengine hawakupita kabisa wewe ndio ukapita kwa sababu nyingne kabisa ukaokota na aliye dondosha hilo burungutu ikawa ni sababu ya wewe kuota ,hakuna kitu kinatokea bila mpangilio wa matukio kwanza .Kwanini wengine waliopita kwenye hiyo barabara hawakuona burungutu? Why burungutu uokote wewe? Hizo ndizo tunazosema BAHATI.