Nimegundua Bahati Ina mchango mkubwa kwenye Maisha yetu

Nimegundua Bahati Ina mchango mkubwa kwenye Maisha yetu

Hakuna bahati hapa duniani, kila kitu kilisha pangwa na kila mtu anapata anacho stahili.
Kila kitu kilishapangwa kwenye hatima ya kila mtu ila shida ni kwamba dunia ni sehemu ya majaribio kwahiyo kuna mchanganyiko wa vita amani chuki na kadhalika.

so kuna watu wengine huwa wanapata changamoto ya kuyumbishwa huku na huku hadi kujikuta wanashindwa kuziona au kuzijua zile njia zitakazo wapeleka kwenye hatima yao na wengine hawakutani na hizi challenges so unakuta mapema tu mtu anapata mwanga wa kuzipita zile njia zinazompeleka moja kwa moja kwenye hatima yake.

Na hii ndio huitwa bahati.

NB: hakikisha una D mbili ili uweze kuelewa.
 
Kila kitu kilishapangwa kwenye hatima ya kila mtu ila shida ni kwamba dunia ni sehemu ya majaribio kwahiyo kuna mchanganyiko wa vita amani chuki na kadhalika.

so kuna watu wengine huwa wanapata changamoto ya kuyumbishwa huku na huku hadi kujikuta wanashindwa kuziona au kuzijua zile njia zitakazo wapeleka kwenye hatima yao na wengine hawakutani na hizi challenges so unakuta mapema tu mtu anapata mwanga wa kuzipita zile njia zinazompeleka moja kwa moja kwenye hatima yake.

Na hii ndio huitwa bahati.

NB: hakikisha una D mbili ili uweze kuelewa.
Sasa kama kila kitu kilishapangwa si ina maana kitatokea bila kujali kipi kitafanyika hapo kati? Au kuna namna wananzengo wanaweza kuuchezea huo mfumo kilichopangwa kisitokee?
 
Sasa kama kila kitu kilishapangwa si ina maana kitatokea bila kujali kipi kitafanyika hapo kati? Au kuna namna wananzengo wanaweza kuuchezea huo mfumo kilichopangwa kisitokee?
Dunia ni sehemu ya vita na majaribio so kila roho iliyopo kwenye mwili wa mtu hapa duniani iko na hatima tofauti kwahiyo kila unachokiona hapa duniani hakipo kwa bahati mbaya na wala hakuna yeyote anaeuchezea mfumo isipokua huu mchanganyiko unaunda kitu like matrix kwahiyo kuna watu wanakua trapped na pia wapo ambao hawawi trapped na pia wapo ambao wanakua trapped ila wanajinasua na kutoka kwenye hizo trap.

Na anaekutrap sio kwamba ako na makosa ila nae yupo kwenye harakati za majaribio yatayompeleka kwenye hatima yake, kwahiyo kwa kifupi dunia ni vita ya hatima.
 
Sio kweli, ukisoma andiko lako hapo chini linasema bahati na wakati huwapata wote, hivyo ni namna mtu anavyoitambua na kuivuta bahati yake yeye mwenyewe.
Kila mtu na wakati na majira yake!
Wengine mpaka huo muda wa bahati ufike anakua ameshachoshwa sana na vimbwanga vya maisha

Wengine bahati ipo kwao tokea wamezaliwa hadi wanakufa yeye kila siku mambo kwake super
 
Kila mtu na wakati na majira yake!
Wengine mpaka huo muda wa bahati ufike anakua ameshachoshwa sana na vimbwanga vya maisha

Wengine bahati ipo kwao tokea wamezaliwa hadi wanakufa yeye kila siku mambo kwake super
Nasemaje, its all depend on how you attract your luck, huyo unayemuona hana bahati au bahati yake bado haijafika anaweza kuchange his thoughts and soon enough akawa ana vingi kuliko huyo unayemuona ana bahati, it's all subconscious. You become as you are, na ndio maana ya ile scripture 'mwenye nacho ataongezewa na kama unaona huna hata kidogo ulichonacho utakapokonywa.
 
Kila mtu na wakati na majira yake!
Wengine mpaka huo muda wa bahati ufike anakua ameshachoshwa sana na vimbwanga vya maisha

Wengine bahati ipo kwao tokea wamezaliwa hadi wanakufa yeye kila siku mambo kwake super
Na kwenye maisha hakunaga kitu kusema wakati wako, jambo lolote hutokea wakati wowote, ndio maana Yesu anawambia wakristo ALL IS VANITY, na Wajapan wanaambiwa na ZEN kwamba ALL IS NOW, thats means there is no yesterday, there's tomorrow, all is now.
 
Dunia ni sehemu ya vita na majaribio so kila roho iliyopo kwenye mwili wa mtu hapa duniani iko na hatima tofauti kwahiyo kila unachokiona hapa duniani hakipo kwa bahati mbaya na wala hakuna yeyote anaeuchezea mfumo isipokua huu mchanganyiko unaunda kitu like matrix kwahiyo kuna watu wanakua trapped na pia wapo ambao hawawi trapped na pia wapo ambao wanakua trapped ila wanajinasua na kutoka kwenye hizo trap.

Na anaekutrap sio kwamba ako na makosa ila nae yupo kwenye harakati za majaribio yatayompeleka kwenye hatima yake, kwahiyo kwa kifupi dunia ni vita ya hatima.
Huko kutrap ndio kuuchezesha mfumo napokusemea mimi, so unaweza ukawa trapped usifikie hatma uliopangiwa?
 
Hili swala nilikuwa nalijua ila leo baada ya message fulani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambaye nilizoeana naye ambapo alikuwa mfanya usafi ofisini, baadae alipata kazi sehemu nyengine ila kwa wakati kadhaa alikuwa ananipigia simu na kunipiga vizinga.

Sababu nilikuwa najua hali yake, nikawa nampa tafu ila sometimes huwa namzingua kuhusu tabia yake. Ila leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana.


Alivhoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana. Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kuwa una Bahati.
Yeah mkuu.... bahati ipo sana tu maishani.
 
Ulisema Riziki ni mambo mema na mazuri ambayo mtu hupata kutoka kwa Mungu wake.

Je mtu muovu akipata riziki na yeye Utasemaje?

Kwamba riziki yake imetokana na matendo yake maovu?
Mtu kuwa muovu sio sababu ya kukosa riziki, Mungu huwapa wote na habagui muovu wala msafi. Ila ipo siku atauliza ni vipi mtu ametumia riziki aliyopewa
 
Hili swala nilikuwa nalijua ila leo baada ya message fulani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambaye nilizoeana naye ambapo alikuwa mfanya usafi ofisini, baadae alipata kazi sehemu nyengine ila kwa wakati kadhaa alikuwa ananipigia simu na kunipiga vizinga.

Sababu nilikuwa najua hali yake, nikawa nampa tafu ila sometimes huwa namzingua kuhusu tabia yake. Ila leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana.


Alivhoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana. Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kuwa una Bahati.
Mustafa ni Mmalawi
 
Back
Top Bottom