Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
mbona kama sielewi iviSema umenyimwa nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kama sielewi iviSema umenyimwa nn
TakoHuelewi ulichonyimwa?
anhaa sawaJitazame kwa kupitia lenzi ya jicho lako la tatu ( nyota ya mashariki ) badala ya kutumia macho yako ya nyama ndo utaanza kuelewa .
never sitaki mdebwedo mimiMloganzila loading....85%
ntakomaa misuliBado uje nikufanyishe mazoezi
Nimecheka jaman mpuuz weye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,ndo tulivo mweeeeWatu wa huko kwenu ukiwaangalia ni kama wamekomaa vigimbi hv Kumbe ndo walivo
But sio mfumo wa dunia ila mfumo wa hatima yako wewe na kujikuta unakua daraja kwenye kutimiza hatima ya mtu mwingine bila kupendaHuko kutrap ndio kuuchezesha mfumo napokusemea mimi, so unaweza ukawa trapped usifikie hatma uliopangiwa?
mbona mimi unanitoa sasaKweli tena hata mikono yao Kuna namna kama imekomaaa hv
Hahahaha niliazima tu nipigie picha😂😂😂😂 Jamaniiiii,,una kumbukumbuWe sijakuona....ila kwa Ile kiatu ulikua umevaaa🤣🤣🤣🤣we utakua mfano wa kuigwa
So unahitaji kuipambania hatma yako sio?But sio mfumo wa dunia ila mfumo wa hatima yako wewe na kujikuta unakua daraja kwenye kutimiza hatima ya mtu mwingine bila kupenda
nimeona aloooh 🙌🏾Sisahau kizembe hvo
Yeah ili uwe mshindi na utoke ndani ya mfumo ni lazima upambane na utimize lilekusudio la wewe kuwa hapa duniani, ukishalitimiza mwili utashuka ardhini roho itaenda mahala ambapo inastahiri kwenda.So unahitaji kuipambania hatma yako sio?
KongulatulesheniSio powa
Kua na brain nzuriYa nn
Well saidNasemaje, its all depend on how you attract your luck, huyo unayemuona hana bahati au bahati yake bado haijafika anaweza kuchange his thoughts and soon enough akawa ana vingi kuliko huyo unayemuona ana bahati, it's all subconscious. You become as you are, na ndio maana ya ile scripture 'mwenye nacho ataongezewa na kama unaona huna hata kidogo ulichonacho utakapokonywa.
HakikaHili swala nilikuwa nalijua ila leo baada ya message fulani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambaye nilizoeana naye ambapo alikuwa mfanya usafi ofisini, baadae alipata kazi sehemu nyengine ila kwa wakati kadhaa alikuwa ananipigia simu na kunipiga vizinga.
Sababu nilikuwa najua hali yake, nikawa nampa tafu ila sometimes huwa namzingua kuhusu tabia yake. Ila leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana.
Alivhoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana. Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kuwa una Bahati.